Habari wadau Nina tatizo moja na sielewi jinsi ya kufanya , nahitaji kuangalia live TV kupitia cm yangu nifanyaje??
simu ynyewe uliyonayo ni low quality........ haina 3g wala nn..... uzur wa smu specs not brand
Haya boss nipe mchakato wa hayo mavitu nitumie kwenye curve 9320