Hellow guys!
Naomba nitumie ukumbi huu kupata habari. Kuna askari wa JWTZ amenieleza kuwa Wilaya ya ilala inaandikisha vijana wote waliopitia JKT kwa lengo la kuwaajiri, Kama kuna mwenye uhakika wa habari hii anijulishe au kama ipo tofauti anifafanulie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.