Kuandikishwa vijana waliomaliza JKT

Kuandikishwa vijana waliomaliza JKT

GEBO.

Member
Joined
Mar 30, 2014
Posts
28
Reaction score
7
Hellow guys!
Naomba nitumie ukumbi huu kupata habari. Kuna askari wa JWTZ amenieleza kuwa Wilaya ya ilala inaandikisha vijana wote waliopitia JKT kwa lengo la kuwaajiri, Kama kuna mwenye uhakika wa habari hii anijulishe au kama ipo tofauti anifafanulie.
 
Back
Top Bottom