kuahirisha masomo mwaka wa kwanza

kuahirisha masomo mwaka wa kwanza

philipo.co

Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
53
Reaction score
6
Samahani ndugu zangu mimi nimechaguliwa kujiunga na elimu ya juu katika chuo cha st.joseph engneering and technology kwa fani ya electrical and communication engneering na mkopo nimepata sasa tatizo ni kazini kwangu wamegoma kabisa kunipa ruhusa ilihali nilitoa taarifa mapema, sasa ni, eambiwa kuwa ruhusa nitapewa mwakani kwani walioomba ni wengi,xa isue inakuja ni taratibu zipi naweza kuzifuata ili niahirishe kwa mwaka huu af then mwakani niende katika chuo hicho, na loan board kunatakiwa kupeleka taarifa? Msaada plz
 
fanya kuhairisha, yaani unajisajili chuoni ulikopangiwa then after 2 weeks unatafuta strong reasons za kukuwezesha kuhairisha mwaka.

Makesure unapeleka barua ya kuhairisha TCU na HESLB mwakani ukirudi watakufufulia mkopo wako na chuoni watakupokea kama kawaida.

Best of luck.
 
fanya kuhairisha, yaani unajisajili chuoni ulikopangiwa then after 2 weeks unatafuta strong reasons za kukuwezesha kuhairisha mwaka.

Makesure unapeleka barua ya kuhairisha TCU na HESLB mwakani ukirudi watakufufulia mkopo wako na chuoni watakupokea kama kawaida.

Best of luck.

This is It..... Don't postpone the year without registering to the specified University first .... Your space will be occupied and thereby you will have to apply again freshly next year
 
Back
Top Bottom