Hivi silent ocean si wanataka mzigo kuanzia cubic meter 1,au hata parcel ndogo wanasafirisha?Kama unamoyo wa kusubiri 35 days mpaka 45 and sometimes 60 days .. you are right to go for it.
1.Alibaba
2. Made in China
3. Ali express
3. Ebay
Don’t try . Kikuu.
Unaweza kutumia sanduku la post lako kupata bidhaa utayoagiza au kutumia watu hapa chini
Shipping agents
1. Silent ocean
2. Agiza
3. Target
4.Express cargo
Wote wana ofisi mjini
Hata parcel ndogo wanasafirisha.Hivi silent ocean si wanataka mzigo kuanzia cubic meter 1,au hata parcel ndogo wanasafirisha?
Habari zenu humu
Naombeni mwenye uzoefu wa kuagiza bidhaa china anisaidie nahitaji kuagiza bidhaa kutoka huko
Sasa muongozo gani unataka?Mwenye uzoefu wa kutosha
Nahitaji kuagiza kitu ila naogopa kutokana na utaperi UTAPELI NI MWINGI SANA JAMAA madalali ni weNgi
Toeni muongozo
Nashukuru mkuu.mi niko Arusha. Naweza kusubiri nahitaji uaminifu tuKama unamoyo wa kusubiri 35 days mpaka 45 and sometimes 60 days .. you are right to go for it.
1.Alibaba
2. Made in China
3. Ali express
3. Ebay
Don’t try . Kikuu.
Unaweza kutumia sanduku la post lako kupata bidhaa utayoagiza au kutumia watu hapa chini
Shipping agents
1. Silent ocean
2. Agiza
3. Target
4.Express cargo
Wote wana ofisi mjini
Why Kikuu?? Mimi niko Bukoba na nimeagiza vitu zaidi ya mara kumi kupitia kikuu na vimefika ndani ya week 2 mpaka 3 (maximum)Kama unamoyo wa kusubiri 35 days mpaka 45 and sometimes 60 days .. you are right to go for it.
1.Alibaba
2. Made in China
3. Ali express
3. Ebay
Don’t try . Kikuu.
Unaweza kutumia sanduku la post lako kupata bidhaa utayoagiza au kutumia watu hapa chini
Shipping agents
1. Silent ocean
2. Agiza
3. Target
4.Express cargo
Wote wana ofisi mjini
Kikuu wako.bei ghali sana nimeshaagiza sana nao sio kwa biashara hutapata faida labda kwa ajili ya mtu binafsiWhy Kikuu?? Mimi niko Bukoba na nimeagiza vitu zaidi ya mara kumi kupitia kikuu na vimefika ndani ya week 2 mpaka 3 (maximum)
Kuachana na bidhaa.. mara nyingi suppliers wa kikuu wanaishiwa product wanafosi product feki ila kwa bei ile ile.Kikuu wako.bei ghali sana nimeshaagiza sana nao sio kwa biashara hutapata faida labda kwa ajili ya mtu binafsi
Hao uhakika sana.Nashukuru mkuu.mi niko Arusha. Naweza kusubiri nahitaji uaminifu tu
Watanzania wengi njaa wametanguliza mbele sana tena hiyo ipo common tu.Sasa muongozo gani unataka?
Kama huamini mtu. Zipo hizo firm nimeandika hapo. Watafute utapata mzigo wako popote unapotaka kutokea. Hapo hizo kampuni ni kuwasiliana nao. Moja wapo anachukua mizigo hata uturuki, Uk na china.. wapo wa china tu. Sasa unaogopa kutapeliwa na thread imeshajibiwa.
Ndugu ubinadamu haupimwi hivyo. (Kwa level ya ubinadamu) .. mchina anaweza kukutumia kitu mara mbili safi kabisa mara tatu akakuletea malonya. Hizo kampuni inakua uhakika kwako kwasbabu wao kazi yao nikukuletea kitu kile unachohitaji kutoka sehemu unaotoka mzigo wako. Ila nisieleze sana. Jaribu kwanza.Watanzania wengi njaa wametanguliza mbele sana tena hiyo ipo common tu.
Sasa nitajaribu kuwasiliana nao ili nione nitaagiza kitu gani chenye thamani ya kawaida halafu nione mrejesho wao.
SafiKama unamoyo wa kusubiri 35 days mpaka 45 and sometimes 60 days .. you are right to go for it.
1.Alibaba
2. Made in China
3. Ali express
3. Ebay
Don’t try . Kikuu.
Unaweza kutumia sanduku la post lako kupata bidhaa utayoagiza au kutumia watu hapa chini
Shipping agents
1. Silent ocean
2. Agiza
3. Target
4.Express cargo
Wote wana ofisi mjini