Kuagana kwa wapenzi

Kuagana kwa wapenzi

Weeewe mmh, sijafanya research but naamini wanawake wengi hawapendi wanaume wa kulialia, sio lazima ktk context uliyoelezea but mara nyingi ukilialia unaonekana kama legelege au dhaifu hivi.

hapana, but b4 cjafanya naulza ili njue if ts ryt or chick ataniona ndvyo cvyo
 
No way mwanaume unamkuta analia wakati wa kumwaga mpenzi wake, ni kweli it emotion lakini sifa kubwa ya mwanaume aliyekamilika ni kuweza kujizuia (control). Haya ndo yale yanasikia sexual feelings kwenye mabasi yanachafua wadada au yanabaka. Ukitafuta sana utakuta haya wakati wa kutahiriwa yalishikwa na mama zao huku dokta anakata.
Mwanaume wa kweli mpaka uone chozi lake ni ishu. Nawapenda sana wachaga wanasema mwanaume ni mbavu za chuma. Nonsense.
 
wakat wa kuagana na mpenz wk, mwanaume naye akalia, je ni sawa au ni kujshushia uaanaume?

kwetu uswaz kuagana na mpanzi ni tofauti unaagana nae umepata mwingine mashalahhh au kuagana anakwenda safari fafanua kama mtu mwenyee akili timamu
 
Back
Top Bottom