kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....
kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....
tena mwambie sikupendi
akufanye wewe![]()
nilijua tu lazma utaongea hvyo.
Bila shaka nipo tiari.... afu we mchokozi sana, ndo nini kumuwekea na avatar kabisa
ili ajue unapoelekeaga
Men men men....!!!
ndiyo unataka nimpe moyo wa uongo kwamba ajipendekeze au alazimishe au alielie hakuna hiyo kitu ukiachwa tafuta njia nenda unakuwa na alternative ya haraka sana
Ushauri wa nini tena wakati amekwisha kujibu live kuwa ana msichana mwingine. Wewe lala mbele,otherwise utaendelea kuwa mchepuke wake,Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
Ushauri wa nini tena wakati amekwisha kujibu live kuwa ana msichana mwingine. Wewe lala mbele,otherwise utaendelea kuwa mchepuke wake,
lakn huu moyo wa kudis wanaume haukuwa nao toka mwanzon sjui umeutoa wapi?