Tukielekea krismas ya pili tukiwa bila Dr. Slaa katika siasa za Tanzania je watanzania tunalakujifunza?
Ni ukweli usiyopingika kwamba Slaa ni miongoni mwa nembo kubwa katika siasa za Tanzania. Nimekaa nikatafakari na kujiuliza maswali mengi sana juu ya maisha ya Slaa kabla na baada ya kuachana na siasa za misimamo ya kutetea watanzani majukwaani.
Miongoni mwa maswali niliyojiuliza:
Je baada ya slaa kuachana na siasa kunachochote amepungukiwa?
Je kipindi Dr.slaa anawatetea watanzania tena kwa kujitoa kwa gharama ya uhai wake tulikuwa tunamlipa Nini?
Baada ya kujiuliza maswali hayo cjapata majibu ya kutosha, nikaamua kuachana na slaa kwani nimeanza kuingiwa na hofu kubwa sana na kuwaza zaidi.
Wanaforum wezangu hivi siku Moja Lisu, Mbowe, MNYIKA, MDEE, LEMA na wengine wote wanaotokea hadharani kukemea serikali wakiamua kujiweka kando hali itakuwaje?,
Kunaumuhimu wakuwasupport watu hawa kwani nimegundua they fighting for majority, nimegundua hata siku wakikaa Kimya hawatapungukiwa na kitu chochote bali maisha yao yataendelea kustawi na familia zao kama Slaa.
Ni ukweli usiyopingika kwamba Slaa ni miongoni mwa nembo kubwa katika siasa za Tanzania. Nimekaa nikatafakari na kujiuliza maswali mengi sana juu ya maisha ya Slaa kabla na baada ya kuachana na siasa za misimamo ya kutetea watanzani majukwaani.
Miongoni mwa maswali niliyojiuliza:
Je baada ya slaa kuachana na siasa kunachochote amepungukiwa?
Je kipindi Dr.slaa anawatetea watanzania tena kwa kujitoa kwa gharama ya uhai wake tulikuwa tunamlipa Nini?
Baada ya kujiuliza maswali hayo cjapata majibu ya kutosha, nikaamua kuachana na slaa kwani nimeanza kuingiwa na hofu kubwa sana na kuwaza zaidi.
Wanaforum wezangu hivi siku Moja Lisu, Mbowe, MNYIKA, MDEE, LEMA na wengine wote wanaotokea hadharani kukemea serikali wakiamua kujiweka kando hali itakuwaje?,
Kunaumuhimu wakuwasupport watu hawa kwani nimegundua they fighting for majority, nimegundua hata siku wakikaa Kimya hawatapungukiwa na kitu chochote bali maisha yao yataendelea kustawi na familia zao kama Slaa.