thegreatchief
Member
- Oct 19, 2012
- 62
- 68
Habari za wakati huu wana jamii forum?
Leo nimekuja na swali ambalo nina uhakika nitapata usaidizi kutoka kwa wahusika au wazoefu wa hiki ninachotaka kuuliza.
Ni zaidi kama miaka miwili leseni yangu ya udereva ilipotea na muda wake ulikua unaisha mwaka huo. Bahati mbaya sikupata nafasi ya kwenda ku-renew maana nilikua nina kibadua ambacho hakihitaji leseni kea wakati huo ilipokua inaisha muda wake.
Hivi sasa nina uhitaji wa leseni hivyo nilikua nataka kujua kama nitaweza ku-renew qu nianze process za kuomba upya. Na kama itatakiwa ku-renew, je watahitaji cheti cha udereva au itakuaje?? Na gharama zake zipote kwa sasa
TIN namba ninayo.
Natanguliza shukrani kwa watakaonisaidia kupata mwanga wa nini cha kufanya
Leo nimekuja na swali ambalo nina uhakika nitapata usaidizi kutoka kwa wahusika au wazoefu wa hiki ninachotaka kuuliza.
Ni zaidi kama miaka miwili leseni yangu ya udereva ilipotea na muda wake ulikua unaisha mwaka huo. Bahati mbaya sikupata nafasi ya kwenda ku-renew maana nilikua nina kibadua ambacho hakihitaji leseni kea wakati huo ilipokua inaisha muda wake.
Hivi sasa nina uhitaji wa leseni hivyo nilikua nataka kujua kama nitaweza ku-renew qu nianze process za kuomba upya. Na kama itatakiwa ku-renew, je watahitaji cheti cha udereva au itakuaje?? Na gharama zake zipote kwa sasa
TIN namba ninayo.
Natanguliza shukrani kwa watakaonisaidia kupata mwanga wa nini cha kufanya