Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Napata kigugumizi inapofikia ku"like" posts. Hii "Like" mwenzenu!!!!!Ni afadhali hata enzi za "Thanks".
Mtu unaanzaje ku "like" ugonjwa, maafa/msiba - mwenzio kafiliwa na mpendwa wake, au kaachika au kaumizwa,kaibiwa, ..wewe una like maana yake nini hasa? "Thanks" ingefaa zaidi maana unashukuru kwa taarifa.Sasa ku"like"...ina maanisha umependa nini?
Mtu unaanzaje ku "like" ugonjwa, maafa/msiba - mwenzio kafiliwa na mpendwa wake, au kaachika au kaumizwa,kaibiwa, ..wewe una like maana yake nini hasa? "Thanks" ingefaa zaidi maana unashukuru kwa taarifa.Sasa ku"like"...ina maanisha umependa nini?