Ku "Do" huwapunguzia wanaume miaka ya kuishi..... punguzeni! -UTAFITI

Sorry just passing by... Maana this MAN of mine nikimpa hii report atadai haijaandikwa na marijali....
Shem bana..... hebu msome huyu agemate wangu hapa chini mwenye msimamo kama wangu na wa mmeo.

huu ni uongo sana kwani umeangalia limited and biased parameters

cheki wenye ndoa za wake wengi kupata stats nyingine zilizo bias to balance hii... cheki pia stress na factors zake, mazoezi ya viungo na faida zake na pia role ya kuwa mwanaume inavyosaidia kuzuia release ya visivyohitajika
 
Halafu kwa wanawake wanawahi kuzeeka.
Siyo kweli.
Kinyume chake- Mwanamke anayepata sex dose nzuri huongeza miaka ya kuishi, huwa na furaha na amani, hana stress na pia muonekano wake huwa mzuri zaidi.Ngozi yake hung'aa!
 
Ni ajabu lakini kweli!
Siku zote twaambiwa wanaume huishi miaka kidogo ukilinganisha na wanawake.
Sababu zinazotolewa huwa za kawaida - ajali zaidi, kuhangaika zaidi, nk.

Pia tunaambiwa wanawake wana akiba zaidi kwenye miili yao - minyama na mafuta.
Kumbe kuna zaidi ya hii! Wanaume wao hujimaliza wenyewe kwa tamaa zao.
Kitendo cha kumwaga manii kumbe huwapunguzia miaka kwenye maisha yao.
Kadri unavyojifanya kijogoo kwenda raundi kadhaa, ndivyo unakata miaka kadhaa kwenye
maisha yako.
Someni hii kama mnabisha:

On December 3, 1992, the New York Times reported startling scientific research that seems to
confirm the ancient Taoist insight about the toll that sperm production takes on a man's body
The new work suggests that ceaseless sperm production takes its toll on a male, perhaps
requiring the use of complex enzymes or biochemical processes that have harmful metabolic byproducts." The Times goes
so far as to suggest that "the difference in life span between men and women just may be linked to sperm production.
Women on average live about six years longer than men." There are other theories to explain the disparity in life
expectancy between men and women,
including differences in lifestyle and in hormones. Whether or not the production
of sperm actually shortens your life, it certainly saps your strength.Over two thousand years ago – long before experiments on human sexuality– the Taoists described the importance of not ejaculating in the Discourse on the Highes Tao Under Heaven: "If a man has intercourse without spilling his seed, his vital essence is strengthened. If he does this twice, his hearing and vision are made
clear. If three times, all his physical illness will disappear. The fourth time he will begin to feel inner peace. The fifth time his blood will circulate powerfully.
The sixth time his genitals will gain new prowess. By the seventh his thighs and buttocks will become firm. The eighth
time his body will radiate good health. The ninth time his life span will be increased."

Kazi kwenu!

1. Kazi kwako wewe unaoleta yatokanayo na utafiti wenye perhaps.....utafiti kazi yake kuondoa neno perhaps kwenye existing body of knowledge. Thus perhaps hii nayo ni perhaps nyingine........

2. Life expectancy ya wanawake na wanaume kwa topic yako c valid ilitakiwa ya wanaume wanaofanya versus wasiofanya

My take; Analysis yako imekupelekea kwenye wrong conclusion n thus no recommendations can be deduced from
 
1. Kazi kwako wewe unaoleta yatokanayo na utafiti wenye perhaps.....utafiti kazi yake kuondoa neno perhaps kwenye existing body of knowledge. Thus perhaps hii nayo ni perhaps nyingine........

2. Life expectancy ya wanawake na wanaume kwa topic yako c valid ilitakiwa ya wanaume wanaofanya versus wasiofanya

My take; Analysis yako imekupelekea kwenye wrong conclusion n thus no recommendations can be deduced from

Pole sana kwa kuguswa hasi.Huo utafiti siyo wangu kama utakavyoona.
I was just sharing what i found na kuchombezea kunogesha mada.Siyo lazima ukubaliane na kilichoandikwa au nilichosema.
After all, hapa tunashirkishana, na kuchangia unavyopenda.Hatuko kwenye Scientific Conference au "Viva for PhD" au defence ya thesis yoyote.
 
Inawezekana kuna ukweli; nchi ambazo wanaume hawako active sexually life expectancy yao iko juu; tofauti na Africa

Big house!!!

I beg to differ......ts not only confined to one factor. High life expectancy ni product ya mchanganyiko wa wa mambo mengi sana na huanzia tangu kutungwa kwa mimba na abstinance haijawahi kuwa sababu ya kuongeza umri wa kuishi

I stand to be corrected
 
Pole sana kwa kuguswa hasi.Huo utafiti siyo wangu kama utakavyoona.
I was just sharing what i found na kuchombezea kunogesha mada.Siyo lazima ukubaliane na kilichoandikwa au nilichosema.
After all, hapa tunashirkishana, na kuchangia unavyopenda.Hatuko kwenye Scientific Conference au "Viva for PhD" au defence ya
thesis yoyote.

Oonh sorry kaka kama lugha haijaakisi maana yangu I only meant to criticize the research done broda......I appreciate information sharing as u did but as thinkers we have the role ya kuchuja info kaka. Once again m sory as I ddnt mean to personalize you with the findings
 
nice research for academic purposes; could be used for family planning in future probably; not applicable in real life...
 
Mmmh! Sina uhakika, kuna washkaji nawafahamu wao kila siku wanapiga game, mbona hawafi sasa? Kwanza ndio wana afya na wanang'aa kama nini?

Si kila mtu anaibuka na lake tu japo wanadai kuna research ila percent ya ukweli ni ndogo sana
 
PROGENY AND PLEASURE
Looking at the simple arithmetic of sperm production helps explain the reason that ejaculation can be so taxing on your
body. An average ejaculation contains 50 to 250 million sperm cells. (Theoretically speaking, if each sperm fertilized an
egg, one to five ejaculations could repopulate the United States!) Every single one of those sperm cells is capable of
creating half of an entire new human being. Any factory that produces 50 to 250 million products needs raw material, and
in this case the raw material is you.

Although your body produces a large amount of sperm each day, the value of this
sperm should not be underrated. If your body does not need to replenish this sperm,
it is able to use this energy to strengthen your body and your mind. This energy is used to
improve your health, creativity, and spiritual growth.

Every time you ejaculate, your body assumes that it is getting ready to create a new life.
All of the organs and glands in your body give their best energy, what is called orgasmic energy.
In many species, once this energy has been given, once the seed has been lost,
the body of the animal starts to deteriorate. Salmon, for example, die soonafter they spawn.
Anyone who has spent time gardening knows that plants die or become dormant once they give their
seed. Plants that are kept from going to seed live longer than those that are not.
Though, luckily for us, we do not die after ejaculating, we are part of nature and that
we must understand nature’s laws.
According to Sexual Behavior in the Human Male (popularly known as the Kinsey Report),
an average man ejaculates about five thousand times during his lifetime;
some men ejaculate many, many more times. During the course of an
average man’s sex life (and this includes time spent locked in the bathroom),
a man ejaculates 1 trillion sperm. Assuming that some of this ejaculation happens with a partner,
the chances of his passing on his genetic code are pretty good.
Most of the time, however, when we make love – not for progeny, but for pleasure – there is no need to spill our seed
and deplete our bodies.
- jifunzeni kutokumwaga mnapofanya!
Ku Do Kunako mpunguzia Mwanamme kuishi ni Ku do kwa kila siku nakubalina na wewe ikiwa kama wewe una shemeji (bwana au mume wako )Ana do na wewe kila siku basi kuna uwezekano yeye huyo mume wako kuwa na umri mfupi na kuzeeka

haraka iwezekavyo. Lakini ikiwa kama atakuwa ana Do kwa kila wiki mara 3 itakuwa kwake huyo mume au Mwanamme yoyote yule atakuwa na Afya na umri mzuri. Na katika siku hizo Tatu inatakikana awe ana Do kwa

siku mara moja isiwe tena aka Do Mchana na usiku wake hivyo itakuwa pia sio nzuri kiafya aki do mchana usiku asi do tena na apumzike baada ya siku 2 siku ya 3 anaweza tena aka do, kwa hali hiyo itakuwa ni vizuri kiafya. Je sisi Wanaume tutaweza ku do kwa wiki mara3? Nauliza Swali hilo?naomba nipatiwe jibu asanteni.
 
hv si ndo hawa hawa wamekuja na findings ktk research zao kua ARVs zinazuia ukimwi na kutibu ikiwezekana mtu anaetumia hawez muambukiza mwngne!
Wkt ktk uhalisia usiombe upewe virus na mtu anaetumia hzo karanga uchukui round
Washenz kwel hawa vp kuhusu wafalme wa zaman au kwa sasa wnye wake weng?
 
Uzi huu waniongezea ashiki zaidi.
Pole zao wasio wazima
OTIS
 
Research nyingine bana siziamini kabisa
Sijaona mahali walipotoa mfano .. kama padre anaishi miaka mingi kuliko baba mwenye mke na watoto . ...

Research mpaka waweke kwenye trial ndio watoe hiyo conclusion... na itachukua miaka na miaka ..
 
Back
Top Bottom