ku band

ku band

Izzo G

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
414
Reaction score
62
wadau nimefunga ku band mbele ya c band ya local channel naomben frequency na symbol rate na satelite pia ya channel ninazoweza pata kwa position hyo natumia media com 930+
 
kama umeiweka vizuri hapo waeza pata channel za kenya,.satellite nss 12 @ 57'E,au kama huioni hiyo satellite,chagua satellite yeyote ya Ku,kisha ingiza freq 11026 pol H symbrate 9693,kila la kheri kaka
 
Nawapisha watalaam waseme mimi hakuna ninachojua katika hili
 
skuhiz imebaki chnl moja tu ya K24
zingne ni kbc na Family tv signal zipo ila hakuna kinachotokea [ni kwa freq hizo alizokupa jamaa] kama lnb unazo 3
kwenye antena setting weka lnb 3, kama mbili weka 2
 
mimi ni mtaalamu wa mambo hayo ,lakini sijamuelewa maana yake au shida yake.nyie mliomjibu someni kwanza alichoandika,mukielewe then mumpe jawabu.yeye anasema anefunga Ku band mbele ya C band na anatumia mediacom 930+.sasa nyie hapo mnamuelewaje?mimi namuomba afafanue maelezo yake na shida yake vizuri ili tumsaidie
 
Mi nimemuelewa.anataka chanel za kenya.ila kama alivyoelekeza mdau hapo juu imebaki chanel ya k24 nyingine zote hazioneshi.
 
mimi ni mtaalamu wa mambo hayo ,lakini sijamuelewa maana yake au shida yake.nyie mliomjibu someni kwanza alichoandika,mukielewe then mumpe jawabu.yeye anasema anefunga Ku band mbele ya C band na anatumia mediacom 930+.sasa nyie hapo mnamuelewaje?mimi namuomba afafanue maelezo yake na shida yake vizuri ili tumsaidie

freq za k24 nadhan ni hayo tu
 
kama umeiweka vizuri hapo waeza pata channel za kenya,.satellite nss 12 @ 57'E,au kama huioni hiyo satellite,chagua satellite yeyote ya Ku,kisha ingiza freq 11026 pol H symbrate 9693,kila la kheri kaka

kwenye receiver yang Ya media com sijaona satellite ya nss 12
 
Sasa kbc na wengine wa kenya na uganda tunawapaje? Maana hizo frequencies hapo kwa lyngsat hazipati channels za kenya uganda na zambia
 
skuhiz imebaki chnl moja tu ya K24
zingne ni kbc na Family tv signal zipo ila hakuna kinachotokea [ni kwa freq hizo alizokupa jamaa] kama lnb unazo 3
kwenye antena setting weka lnb 3, kama mbili weka 2

ahsante sana kaka naomba na za aljazeera na zile za kihind
 
mimi ni mtaalamu wa mambo hayo ,lakini sijamuelewa maana yake au shida yake.nyie mliomjibu someni kwanza alichoandika,mukielewe then mumpe jawabu.yeye anasema anefunga Ku band mbele ya C band na anatumia mediacom 930+.sasa nyie hapo mnamuelewaje?mimi namuomba afafanue maelezo yake na shida yake vizuri ili tumsaidie
mbona ameeleweka , C band ya local channel maana yake ni intelsat 906 Intelsat 906 at 64.2°E - LyngSat na ku band inayoenda nayo hapo ni ile zamani inaitwa pass 7/10 ikabadilishwa jina ikaitwa intelsat 7/10 na hivi karibuni ishabadilishwwa inaitwa intelsat 20 hapo kuna free to air channel nyingi kama una k band. anza na frequency 11170 v kuelekea chini. Intelsat 20 at 68.5°E - LyngSat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom