Vyeti vyako vikoje?Natamani mnijuze ndugu kozi ,, ama fani zenye soko/ kwa sasa ni zipi??
Uzi ufungwe 🤣Nothing beats connection
Get rich or die trying ☹️Dili Haramu
Yes maan you got it hizo ndio dili za pesa ndefuGet rich or die trying ☹️
Hii course nafikiri kwasasa inaelekea mwaka wa 6 au 7 tangia ilipo anza kufundishwa rasmi bongokuna hii mpya inaitwa biomedical engineering naona watu wanairukia sana, ichunguze
miaka 6,7 ni mpya bana😅Hii course nafikiri kwasasa inaelekea mwaka wa 6 au 7 tangia ilipo anza kufundishwa rasmi bongo
😄😄 tufanye kumi, maana namaliza dip. 2013 nimeikutamiaka 6,7 ni mpya bana😅
udereva hii ndo fani pekee yenye soko la ajira zaidi kuliko fani zoteNatamani mnijuze ndugu kozi ,, ama fani zenye soko/ kwa sasa ni zipi??