mellencian
New Member
- May 29, 2019
- 1
- 1
Habari wana JF
Mwezi ujao namaliza Diploma ya Procurement pale t.i.a sasa nilikua nataka nibadilishe kozi, ipi ni kozi nzuri kati ya project planning management vs community development? Kulingana na soko la ajira hapa Tanzania au kwa anaejua chochote kuhusu kozi hizo msaada wa mawazo tafadhali.
Mwezi ujao namaliza Diploma ya Procurement pale t.i.a sasa nilikua nataka nibadilishe kozi, ipi ni kozi nzuri kati ya project planning management vs community development? Kulingana na soko la ajira hapa Tanzania au kwa anaejua chochote kuhusu kozi hizo msaada wa mawazo tafadhali.