Mr Global
Senior Member
- Nov 9, 2013
- 150
- 125
Kwanza nianze na pole wale mliosoma Bsc PHYSICS, MATHEMATICS na BIOLOGY kwa ugumu wa kazi lakini pia niwaambie ukweli hizi kozi hazina hajira kabisa na kama zipo basi mara moja ndani ya miaka miwili.
Hapo mwanzo kozi hizi zilianzishwa kwa ajili ya kupunguza tatizo la walimu wa sayansi,walipomaliza walichukulia chap na baadae waliombwa waingie kwenye ualimu (wasome postgraduate diploma PGDE) Lakini kwa sasa hali in tete kwan hawaitajiki tena
Mwaka Jana 2019, TAMISEMI waliwapangia watu hawa vituo vya kazi ya ualimu lakini UTUMISHI waliwarudisha kwa sababu walikosa sifa ya ualimu. Kwa maana hiyo hawaaitajiki tena, ila cha kushangaza chuo bado kinadahili hawa watu....
Ushauri wangu tu,,hawa watu wasi-dailiwe tena na hao waliosoma basi tufanye tumetoa sadaka. Kwa sababu hata leo ukimuuliza LECTURE wa hiyo kozi kuhusiana na wapi nitafanyia field hii kozi yangi HAJUI
Poleni wahanga wezangu, tuendelee kusaga na lumba jua na mvua kwa mpigo
Never give up!!
Hapo mwanzo kozi hizi zilianzishwa kwa ajili ya kupunguza tatizo la walimu wa sayansi,walipomaliza walichukulia chap na baadae waliombwa waingie kwenye ualimu (wasome postgraduate diploma PGDE) Lakini kwa sasa hali in tete kwan hawaitajiki tena
Mwaka Jana 2019, TAMISEMI waliwapangia watu hawa vituo vya kazi ya ualimu lakini UTUMISHI waliwarudisha kwa sababu walikosa sifa ya ualimu. Kwa maana hiyo hawaaitajiki tena, ila cha kushangaza chuo bado kinadahili hawa watu....
Ushauri wangu tu,,hawa watu wasi-dailiwe tena na hao waliosoma basi tufanye tumetoa sadaka. Kwa sababu hata leo ukimuuliza LECTURE wa hiyo kozi kuhusiana na wapi nitafanyia field hii kozi yangi HAJUI
Poleni wahanga wezangu, tuendelee kusaga na lumba jua na mvua kwa mpigo
Never give up!!