andy90
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 270
- 105
majina ya waliopata wote yapo kwa mfumo wa PDF tena alphabetically, chuo baada ya chuo na kozi zake, yaan fro University starts with A to Z.
Ni kwamba kwa mfano NIT hayo majina yamebandikwa chuoni??
majina ya waliopata wote yapo kwa mfumo wa PDF tena alphabetically, chuo baada ya chuo na kozi zake, yaan fro University starts with A to Z.
majina ya waliopata wote yapo kwa mfumo wa PDF tena alphabetically, chuo baada ya chuo na kozi zake, yaan fro University starts with A to Z.
hata mimi nipo NIT hiyo faculty ya education ila hadi sasa cijapata mkopo wakuu...
vip barua ya udahili ulitumiwa au uliifata chuo,?
Mkopo umepata kwa kozi hiyo ya BEMIT?
Tangu lini kwenye usafirishaji kukawa na Education kama sio kanyaboya tu?
Huu wizi sasa NIT nao wanakozi za education???ardhi za accounts??hii elimu ya bongo ndiyo maana imekosa thamani kabisa
niliwapigia HESLB
majina ya waliopata wote yapo kwa mfumo wa PDF tena alphabetically, chuo baada ya chuo na kozi zake, yaan fro University starts with A to Z.
wakuu angalieni heslb wametema third lot
Vipi umefanikiwa mkuu?
natafuta chumba cha kupanga nje ya chuo cha NIT mwenye ufahamu juu ya ili tuwasiliane
0656539400
kuna mtu kaniabgalizia kasema cijapata mkuu cijui wengine vipi?!
HATA MIMI NIMEKOSA TENA KWENYE HII THIRD LOT,
AS I SAID BEFORE,
course yetu ya BEMIT haifahamiki loan board, kama kuna mtu kwenye course hiyo kapata mkopo naomba atufahamishe.
Sasa nimechoka na application za vyuo na mkopo, mimi kuanzia sasa nimeamua kukubali kuisiki elimu ya chuo kikuu kwa wenzangu. Toka 2012/2013 mpaka leo 2015/2016 naapply nakosa sasa nimechoka.
Loan board hawako fair, acha elimu ya chuo kikuu niwaachie watoto wao na wengine wa vigogo. Sisi watoto wamasikini tufikiri jinsi gani ya kupora na kukwapua mikoba na simu za watu hapa mitaani.