donald james
Member
- Jan 6, 2014
- 43
- 7
Habari jaman, mi ni muhtmu wa kidato cha 6 2014, bado naendelea kutafuta ushauri wa kitu cha kusoma chuo kikuu, sasa nina koz mbili ambazo kwa upande wangu nashindwa kuzpima uzito kati ya archtecture na civil naomba msaada wenu bla kujal unasoma kozi gan il nifanye maamuz sahihi