Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

''Its true few will understand you after six yrs and 3yrs of prayer and hope'' yan MD for TZ mshahara nimdoga sana compare na mda wanao spend school just imagine 6yrs anasoma tena wengi private 6 to 7 milions per year ana maliza anasota mtaani for 2yrs akbaatika kuajiriwa take home aifiki milion ....ukimlinganisha na mtu alie soma koz za miaka 3 mfano education akapata gpa 3.8 na kuunga master yeye akiwa intern mwenzake kashaanza kupiga mapindi kama asst lecture so this 2 people salary yao ni tofauti kabisa so,,,,, Kama unapenda md soma kama ur desire
Upo sahihi kabisa soma kama unapenda ila usifikilie kuishi maisha bora na kupata maendeleo kwa mshahara wa laki 8 kwa mwezi.
 
Medicine doctor. Kozi gumu miaka Sita shule halafu mshahara mdogo kuliko hata aliesoma kozi ya miaka mitatu huku akila bata chuoni.

Sishauri Kabisa mtu asome kozi hii
Upo sahihi kabisa soma kama unapenda ila usifikilie kuishi maisha bora na kupata maendeleo kwa mshahara wa laki 8 kwa mwezi.
 
''Its true few will understand you after six yrs and 3yrs of prayer and hope'' yan MD for TZ mshahara nimdoga sana compare na mda wanao spend school just imagine 6yrs anasoma tena wengi private 6 to 7 milions per year ana maliza anasota mtaani for 2yrs akbaatika kuajiriwa take home aifiki milion ....ukimlinganisha na mtu alie soma koz za miaka 3 mfano education akapata gpa 3.8 na kuunga master yeye akiwa intern mwenzake kashaanza kupiga mapindi kama asst lecture so this 2 people salary yao ni tofauti kabisa so,,,,, Kama unapenda md soma kama ur desire
Na vipi MD akienda kupiga master kama huyo wa education mwenye 3.8 GPA?
yaani unafananisha MD, anayelipwa mara 2 ya mwalimu?
Halafu sio miaka 6,maana hio intern tu MD analipwa mara 2 ya salary ya officers wengi tu wa government.
Wengi waliokosa na kufail MD, ndio huenda kozi zingine.
Jipange upya mkuu
 
Na vipi MD akienda kupiga master kama huyo wa education mwenye 3.8 GPA?
yaani unafananisha MD, anayelipwa mara 2 ya mwalimu?
Halafu sio miaka 6,maana hio intern tu MD analipwa mara 2 ya salary ya officers wengi tu wa government.
Wengi waliokosa na kufail MD, ndio huenda kozi zingine.
Jipange upya mkuu
Mtu mwenye M.D anazidiwa na mtu mwenye diploma aliyeajiriwa TRA ,EWURA,LATRA,
 
Pindi mnaangaika na kozi za mdaa mrufu wahun tumepiga hii machine now tunakur maisha bira stress
images%20(1).jpg
 
Biomedical ni Upepo unapita soon, Kwa wanaofatilia trending 2007 watakumbuka upepo wa Computer science na Telecommunications mpaka kufikia Mahali COET ikawa ili uwe enrolled Telecom basi uwe na High Cut off points na Kampuni za Mawasiliano zilikuwa zinaopoa Wanafunzi wa mwaka wa nne chuo na kuwapa kazi kabisa Leo iko wapi telecom? Arusha Technical wenyewe Intake ya kwanza almost wote walipewa offer watachukuliwa ila kwa sasa mfano wa diploma tu wanasota kitaa, Mtu anaetaka kusoma engineering yoyote asome Core courses kama Electrical,Mechanical au Civil, Electrical engineering akienda training anapiga mzigo full wa biomedical na Telecom, Civil same nae anaweza kufanya Highway au irrigation na Mecha nae anaweza kupiga Automotive, Auto electric basi wadogo zangu msiendeshwe na hisia
You are great thinker.
Mechanical,Electrical and Civil engineering are evergreen proffession.
Wasipokuelewa hapa basi tena.
 
ooh sawa hapo nimekupata.
Cha msingi ukisomea ile fani usiwe na haraka nayo.
Unajiongeza kuomba kazi zingine hata za sales & marketing,account assistant.
Tatizo ni connection mkuu. Watu wake wamekuwa wengi ikiwemo mimi ..ivyo ni mwendo wa kujiongeza tu na mishe zingine
 
Nilichosoma na ninachofanya ni mbingu na ardhi. Nilichosomea(uhasibu) nimepractice kidogo sikuupenda, nikaona ni ujinga sbb havinipi chance ya kua creative na mimi napenda ubunifu, nikapiga chini, sasa nagonga ishu za kibabe building construction na mechanical engineering hapa natengeneza vimitambo vidogo vidogo. My long term plan ntaachana na building construction na kupeleka nguvu zoooote kwenye kubuni na kutengeneza mitambo skills nazotaka kuwalithisha wanangu haswa wasomee agro mechanics. It's my sincere belief that TZ and africa at large needs to invest much more in agro economics but we are very much failing bcoz of lack of proper knowledge in almost everything. Leo hii kitaalamu tunaambiwa eka moja ya mahindi inatoa atleast 35bags but let's be honest nani anapata 35bags? But wakati sisi tunastruggle kupata hata gunia 15 tu za mahindi jirani yako mzungu anagonga gunia 40+ Tatizo ni nini? Kwangu mimi tatizo ni kukosa elimu bora na si mtaji kama wengi tunavyodhani na naweza kuitetea hoja yangu! Karibuni.
 
una hatari wewe umeme wa kumfungia mtu bila ya kujua Watts, Volts, current, ampere, Gang, switch, switch socket, circut breaker, main switch lazima hiyo nyumba ingelipuka.
Kuna mahali mpaka wire ya earth inabeba moto kwenye 2way gang nk

Ngumu kumeza, Darasa ni muhimu hata kama sio VETA unafundishwa na mwenzako ukajua madhara ya kupigwa shot, madhara ya vifaa kama vitabeba watts, ikiwemo pass, jiko, redio tv heater nk
Anatudanganya tuliosoma umeme miaka 6 mfululizo + field work over 10yrs kwa upande wangu.
 
Back
Top Bottom