Watendaji wa nchi hii hawataacha kunishangaza, yaani katika kutekeleza sheria kweli wanahitaji kuwa na "uvumilivu"? Ina maana muda wote huu Polisi wamekuwa "wavumilivu" katika kutekeleza wajibu wao?. Hii ndo sababu Tanzania has always been the land of impunity!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.