KOVA: Uvumilivu sasa basi

Watendaji wa nchi hii hawataacha kunishangaza, yaani katika kutekeleza sheria kweli wanahitaji kuwa na "uvumilivu"? Ina maana muda wote huu Polisi wamekuwa "wavumilivu" katika kutekeleza wajibu wao?. Hii ndo sababu Tanzania has always been the land of impunity!!!
 
nyie ma mburula mmechokwa hadi na Waislam wenzenu Tatizo hambebeki.Kazi kulalamika kama wajawazito leba.
 
Back
Top Bottom