Kutokana na Taarifa iliyotolewa na Polisi na Kusomwa na Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es salaam Ndg,Suleiman Kova,Inaonyesha hiyo taarifa inajitenga na ukweli! kitu hicho kilichomfanya Msomaji kubabaika na kuwa na hali ya sintojua na kutojiamini!, kwakuwa Msomaji alifahamu fika kuwa anachowaeleza wananchi siyo!! na kwakuwa yeye ndiye anapaswa kufanya hivyo basi hana budi!!Kwani ndilo jukumu lake!!!....Kwa taarifa ile hata kama siyo mtaalamu wa maswala ya saiklojia unaweza kumsoma mtu uso wake!, na ukamsoma anawaza nini! kwakuwa anaanza kuongea na sauti ikichelewa kutoka!! hiyo ni dalili dhahiri kuwa hiki nacho kiongea si sahihi!......hii ni kutokuwa na imani kwakitu anachokuwa akifanya kwa wakati ule!!......Ila na sema Watanzania hawajafikia mahali hapo siku hizi watanzania wengi niwajuzi na niwataalamu wakusoma taarifa za kiinterejensia!!!
Ila na kupa pole kwa twishwa zigo zito......!!
kama mganga mwongoYani kwajinsi alivyokuwa akieleza.....ahiitaji msomi kuele kwamba kinachoelezwa ni uongo!!!Kwana mtu anaongea jambo ambalo ni very sensitive unaongea kama upo kwenye mkutano wa Polisi jamii!! zaleo niliandika Huu uzi kuhusiana na kutojiamini kwa kova wakati anaongea...kumbe na wewe uliliona hili ndiyo maana nilisema haiitaji mtu aliye bobea kwenye mambo saiklojia!!
Kweli Kova ametwishwa zigo la misumari kichwani ngoja imchome
kova anatia huruma,pole sana afande kova.
na Ramadhani ikianza na yeye ataanza kufunga mwezi mtukufu, ati......!
Kweli Kova ametwishwa zigo la misumari kichwani ngoja imchome
Hivi wakuu mnakumbuka siku il Kova anatangaza issue ya Jerry Muro? Aliitangaza kwa mbwembwe na mashamsham kibao ila mwishowe akaishia kuumbuka. This time lazima hilila Ulimboka limpeleke kuzimu. kama sio yeye physically, basi nafs yake lazima iende kuzimu