KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Kutokana na Taarifa iliyotolewa na Polisi na Kusomwa na Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es salaam Ndg,Suleiman Kova,Inaonyesha hiyo taarifa inajitenga na ukweli! kitu hicho kilichomfanya Msomaji kubabaika na kuwa na hali ya sintojua na kutojiamini!, kwakuwa Msomaji alifahamu fika kuwa anachowaeleza wananchi siyo!! na kwakuwa yeye ndiye anapaswa kufanya hivyo basi hana budi!!Kwani ndilo jukumu lake!!!....Kwa taarifa ile hata kama siyo mtaalamu wa maswala ya saiklojia unaweza kumsoma mtu uso wake!, na ukamsoma anawaza nini! kwakuwa anaanza kuongea na sauti ikichelewa kutoka!! hiyo ni dalili dhahiri kuwa hiki nacho kiongea si sahihi!......hii ni kutokuwa na imani kwakitu anachokuwa akifanya kwa wakati ule!!......Ila na sema Watanzania hawajafikia mahali hapo siku hizi watanzania wengi niwajuzi na niwataalamu wakusoma taarifa za kiinterejensia!!!
Ila na kupa pole kwa twishwa zigo zito......!!
Ila na kupa pole kwa twishwa zigo zito......!!