Sulemani Kova amezoea sana kuita waandishi wa habari na kutoa taarifa mbalimbali za kuhusu kukamatwa kwa majambazi na kuonesha silaha/bunduki zilizokamatwa. Kutokana na mgomo wa waandishi kuandika habari za Jeshi la Polisi, Kova atakuwa kwenye hali gani?