Ukiangalia mikoa iliyoendelea utaona haina rasilimali nyingi sana ila kuna akili ya maendeleo
Mifano ya mikoa ni kama Kilimanjaro, ni mkoa wenye rasilimali chache ila wamepata maendeleo kwa kutumia akili.
wameipa thamani elimu iliyowapa sifa ya kujaa katika taasisi nyeti zinazosimamia na kunufaika kwa kodi na mapato ya rasilimali za taifa,
kujitahidi kuchagua viongozi wa kwenda kupambania mgao wao wa keki ya taifa bungeni yenye fedha za kodi zilizokusanywa kutoka kwenye rasilimali
Kusambaa kwenye fursa za rasilimali mfano kampuni za utalii, migodi, misitu, n.k.
Mifano ya mikoa ni kama Kilimanjaro, ni mkoa wenye rasilimali chache ila wamepata maendeleo kwa kutumia akili.
wameipa thamani elimu iliyowapa sifa ya kujaa katika taasisi nyeti zinazosimamia na kunufaika kwa kodi na mapato ya rasilimali za taifa,
kujitahidi kuchagua viongozi wa kwenda kupambania mgao wao wa keki ya taifa bungeni yenye fedha za kodi zilizokusanywa kutoka kwenye rasilimali
Kusambaa kwenye fursa za rasilimali mfano kampuni za utalii, migodi, misitu, n.k.