Kosa kubwa la Tulia ni KIA !

Kosa kubwa la Tulia ni KIA !

Tulia mimi naona ni wale wanawake mcharuko. Kichwa hakijatulia na hana busara. Huwezi kujua kama ameenda shule. Hajui aongee nini na wapi na aji-behave namna gani anapokuwa sehemu tofauti tofauti. Kwake yeye kwenye mazishi anaweza kuwa yupo super happy na anazungumza kama yuko kwenye party. Kwa kifupi ni kishoia wa kiwango cha lami.
Very true
 
"LETE MANENO' - Kikwete
Taarifa za ndani kabisa.

Kilimanjaro International Airport kwasasa una mapato makubwa kwasababu 83% ya watalii wote wanakuja Tanganyika wanapitia hapo.

Baada ya kuuzwa Bandari ya Dar,KIA ilikuwa inafuata.Kelele za Bandari zilisababisha kuvuta subira suala la kuuzwa KIA.

Mpango wa kuuzwa KIA ulikuwa ufanyike baada ya uchafuzi mkuu 29 October 2025 lakini sintofahamu ya uchafuzi mkuu ndio sababu kuu ya kuvuta subira mambo yakipoa mauzo yapo pale pale.

KIherehere cha Tulia dhidi ya Waziri wa uchukuzi na usafirishaji (Mzanzibar) Prof Mbarawa ni sababu ya pili ya ucheleweshaji wa mauzo hayo kwa WAARABU wa Oman.
 
Taarifa za ndani kabisa.

Kilimanjaro International Airport kwasasa una mapato makubwa kwasababu 83% ya watalii wote wanakuja Tanganyika wanapitia hapo.

Baada ya kuuzwa Bandari ya Dar,KIA ilikuwa inafuata.Kelele za Bandari zilisababisha kuvuta subira suala la kuuzwa KIA.

Mpango wa kuuzwa KIA ulikuwa ufanyike baada ya uchafuzi mkuu 29 October 2025 lakini sintofahamu ya uchafuzi mkuu ndio sababu kuu ya kuvuta subira mambo yakipoa mauzo yapo pale pale.

KIherehere cha Tulia dhidi ya Waziri wa uchukuzi na usafirishaji (Mzanzibar) Prof Mbarawa ni sababu ya pili ya ucheleweshaji wa mauzo hayo kwa WAARABU wa Oman.
Aiseeee
 
Kuwa muumini wa nyakati!

Nyakati zikifika zimefika TU,wakati wa kupata na wakati wa kukosa ni kawaida!!

Halafu mnamlaumu huyu mama kuhusu kuuza rasilimali kwani ni rais Gani aliepita hakuuza rasilimali!!?

Nitajieni!!!sijasema kama kuuza ni sawa au sio sawa!

Mniambie TU nani ambaye hakuuza rasilimali za nchi hii!!

Mi nadhani mama anapita mule mule kama watangulizi wake tu!!mkapa aliuza NBC Bank Hadi Nyerere akalia lia sana!!

Ninkweli TULIA ana trauma fulani hasa kwenye msiba wa lukuvi,unasemaje marehem alikufundisha wizi!!?
 
Kuwa muumini wa nyakati!

Nyakati zikifika zimefika TU,wakati wa kupata na wakati wa kukosa ni kawaida!!

Halafu mnamlaumu huyu mama kuhusu kuuza rasilimali kwani ni rais Gani aliepita hakuuza rasilimali!!?

Nitajieni!!!sijasema kama kuuza ni sawa au sio sawa!

Mniambie TU nani ambaye hakuuza rasilimali za nchi hii!!

Mi nadhani mama anapita mule mule kama watangulizi wake tu!!mkapa aliuza NBC Bank Hadi Nyerere akalia lia sana!!

Ninkweli TULIA ana trauma fulani hasa kwenye msiba wa lukuvi,unasemaje marehem alikufundisha wizi!!?
Mwl Nyerere & Dr Magufuli waliuza rasilimali gani !.
 
Kwenye makabrasha ya siri huwezi ambiwa kila kitu!
Mwl Nyerere alikuwa na makosa yake kubwa kuliko yote nitakuambia ni haya mawili.

Mosi Katiba mbaya ambayo umewawezesha viongozi kutuibia,kututawala vibaya,kutuua bila kuhojiwa na vyombo au taasisi yoyote.

Pili kutengeneza muungano mbovu kuliko muungano wowote duniani.
 
Unajua katibu mkuu wa bunge anateuliwa na Rais ambae ndo mtendaji mkuu wa bunge acheni porojo katiba ya ya Tanzania ni mbovu kama mtendaji wako mkuu anateuliwa na Rais wewe spika Una nguvu gani?
Pamoja na ubovu wa likatiba lakini katibu mkuu wa bunge kuteuliwa na rais hakumfanyi Spika kushinwa kuliongoza bunge kuisimamia serikali.

Samuel Sita akiwa Spika,na katibu wake hivyo hivyo akiteuliwa na rais,aliweza kuisimamia serikali kwa kiasi fulani kilichoonekana..

Hivyo kinachotakiwa ni utashi tu wa Spika
 
Usisahau muuzaji mkuu wa mali za Tanganyika ni Mzanzibar Prof Mbarawa ambaye kamwe hawezi kuuza hata eneo la ukubwa wa kaburi huko kwao Zanzibar.
mnamsingizia tu nyie wajinga tatizo lenu kubwa ni ccm mkija mkidanganywa tu uyu ndio sahii mnasahau shida zote kumbe ni walewale kenge nyie
 
Back
Top Bottom