Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,154
33,367
Kwa kifupi Korea ya kaskazini imeshindikana,haiwezekani Tena,imeingia kwenye klabu ya wababe.

Leo tarehe 15 Januari 2021 imeonesha kombora jipya linalorushwa kutoka kwenye nyambizi.

Korea imetamba kuwa hilo Ni kombora lenye nguvu Sana hapa Duniani.

Tangu Korea ilipogawanyika na kuwa Korea mbili,ya kaskazini na ya kusini Mataifa ya Mgharibi yakiongozwa na USA yaliipiga Vita KK vya kuidhoofisha kijeshi na kiuchumi.

Maraisi wa USA toka kipindi hicho waliamua kuivamia kijeshi lakini walishindwa.

Kwa ufahamu wangu maraisi wa USA waliotamani Sana bila mafanikio kuipiga KK Ni Ronlda Ragan,George Bush Mkubwa na Mdogo,Bill Clinton,Barack Obama na aliemaliza kwa kutawala muhula mmoja Donald Trump.

Trump alijaribu kupeleka meli kubwakubwa za kubeba madege na Makombora hatari kabisa lakini ziliishia kugeuza na kurudi kambini huku wakiiacha KK ikitamba kwa kuvurumisha Makombora juu ya Japan.

"All options are on the table"
Haya yalikua maneno ya Trump wakati akiahidi kuitia adabu KK.

Nayo KK ikajibu
"Hebu tuone Kama ataweza maana hata waliotangulia walijaribu lakini hawakuweza"

Leo 15-1-2021 KK Haina wa kumzuia ikitaka kufanya chochote hapa katika sayari hii inayoitwa Dunia.
Imeoneaha silaha yake mpya.
Tumsubiri Joe Biden

North Korea parades new ballistic missiles

State news agency KCNA described it as: "The world's most powerful weapon, submarine-launch ballistic missiles."

It said the missiles "powerfully demonstrate the might of the revolutionary armed forces."

North Korea has test-fired several SLBMs from underwater. Analysts say it is seeking to develop an operational submarine to carry the missiles.
 
Wamarekani hawalali wanataka kuifuta KK kwenye uso wa dunia kwa sbabu ya hizo usemazo manati.
Kama walipiga Iraq, wakidai in WMD wanashindwa nn kwa KK
Inabidi uelewe wamarekani waliiweza IRAQ kwa misaada wa MUIRANI:
aliyekua anatoa ramani nzima ni MUIRANI ,,fuatilia vzur

Haya sasa mbn ASAD wamemshindwa: hiyo yote ni kisa MUIRANI kaingilia kati:

Haya sasa wasogeze Korea kaskazini waone:
 
Kiduku ni muoga kama trump tu, sipendi vita ila naweza sema silaha za korea kaskazini zina madhara kwa nchi za afrika tu ila kwa wababe wa dunia hizo silaha hazina tofauti na manati
Niguse ninuke
20210115_205428.jpg
 
Kiduku ni muoga kama trump tu, sipendi vita ila naweza sema silaha za korea kaskazini zina madhara kwa nchi za afrika tu ila kwa wababe wa dunia hizo silaha hazina tofauti na manati
Haya ndio madhara ya kuvutia bangi chooni.
Hivi ujua kitu kinacho itwa atomic au unaleta utani hapa?
 
Hana nuclear ya kufika masafa marefu

Mbabe wa nuclear duniani ni mmoja tu
Mbabe wa nyukilia Dunian wako wengi

Marekan

Urusi

China

Uingereza

Ufaransa

Korea kask

Israel

Ujeruman

Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).

Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu


Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).


Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.


Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.

Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.

Yote ni katika kutengeneza Ombwe la kiusalama.
 
Mbabe wa nyukilia Dunian wako wengi

Marekan

Urusi

China

Uingereza

Ufaransa

Korea kask

Israel

Ujeruman

Na Mataifa mengine makubwa ya Ulaya ( ingawa hayakiri umiliki wa silaha hizo kama ilivo Israel).

Marekan inamuogopa Mkore kwa sababh moja tu


Mkore alishasema, siku marekan akithubutu, Yeye ataifayatua Japan ,Korea kusin kwa nyukilia ( Kwaivo ili Marekan aanzishe vita na korea lazima mataifa hayo mawili yawe yamempa ruksa ).


Pia Korea imepakana na Wachina na Warusi , mataifa haya mawili kamwe hayawez ruhusu Marekan (NATO) Itie mizizi Korea yaan kuruhusu Adui awe mpakan mwako.


Ndio maana unaona Uchina inakatalia vile visiwa dhidi ya Japan.

Huku Urusi ikinyakua Majimbo kadhaa ya Ukraine.
Mbabe mkubwa ni mrusi anafata us

Marekani haimuogopi mkorea, sema trump ni muoga. North korea kijeshi tu kazidiwa na mhasimu wake south korea

Halafu silaha nyingi za mkorea hazina uwezo wa kusafiri masafa marefu. Mmarekani sehemu yeyote dunuani anaweza akaelekeza kombora
 
Back
Top Bottom