Koo linaniwasha

SARAWAT

Member
Feb 20, 2011
37
4
Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua. Tatizo la sasa nimetumia antibiotics nyingi lakini sipati nafuu, zinatuliza tu ana baada ya siku mbili hali inajirudia, na siku nyingine napiga chafya mpaka macho na masikio yaniniuma. Nifanyeke niweze kuondoa tatizo? very urgent please.
 
Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua. Tatizo la sasa nimetumia antibiotics nyingi lakini sipati nafuu, zinatuliza tu ana baada ya siku mbili hali inajirudia, na siku nyingine napiga chafya mpaka macho na masikio yaniniuma. Nifanyeke niweze kuondoa tatizo? very urgent please.

Jaribu kucheck UTI
 
Jaribu kucheck UTI

UTI ni maambukizi ya njia ya mkojo (urinary tract infection)...sa inahusiana vipi na koo?! Maelezo yako yanarandana kabisa na 'allergy'. Kuna kitu kwenye hewa (perfume, mafuta, sabuni, vumbi, pollen, etc) ambacho una allergy nacho, unapokivuta kwenye hewa basi airway inareact na kukusababishia huo muwasho, chafya, mafua etc.

Antibiotics haziwezi kukusaidi katika tatizo lako, kwa sababu huna bacterial infection...labda unaweza pata bacterial infection days baada ya hiyo reaction. Sikushauri uendelee kutumia antibitics.

Nenda hospitali kafanye 'allergy test', itakupa idea vitu gani unareact navyo..kisha uviepuke. Na unapopata reaction unahitaji dawa za jamii ya 'anti-histamine' ambazo zenyewe husimamisha hiyo reaction. Nenda kwa daktari kwa ajili ya alergy test na ushauri zaidi.
 
uti ni maambukizi ya njia ya mkojo (urinary tract infection)...sa inahusiana vipi na koo?! Maelezo yako yanarandana kabisa na 'allergy'. Kuna kitu kwenye hewa (perfume, mafuta, sabuni, vumbi, pollen, etc) ambacho una allergy nacho, unapokivuta kwenye hewa basi airway inareact na kukusababishia huo muwasho, chafya, mafua etc.

Antibiotics haziwezi kukusaidi katika tatizo lako, kwa sababu huna bacterial infection...labda unaweza pata bacterial infection days baada ya hiyo reaction. Sikushauri uendelee kutumia antibitics.

Nenda hospitali kafanye 'allergy test', itakupa idea vitu gani unareact navyo..kisha uviepuke. Na unapopata reaction unahitaji dawa za jamii ya 'anti-histamine' ambazo zenyewe husimamisha hiyo reaction. Nenda kwa daktari kwa ajili ya alergy test na ushauri zaidi.
nashukuru sana mkuu, inawezekana ikawa allergy, nitajaribu kufanya allergy test,
 
Doctors, naomba msaada. Nina miezi kama minne nimekuwa nikisumbuliwa koo linalowasha kama mtu anayekaribia kupata mafua au kikoozi. mwanzoni hizi zilikuwa dalili za mafua au kikoozi kwangua. Tatizo la sasa nimetumia antibiotics nyingi lakini sipati nafuu, zinatuliza tu ana baada ya siku mbili hali inajirudia, na siku nyingine napiga chafya mpaka macho na masikio yaniniuma. Nifanyeke niweze kuondoa tatizo? very urgent please.

Ndugu pole sana.hiyo ni serious case,nenda hospitali ya serikali kitengo cha kifua kikuu na ukoma n mweleze daktari wa kitengo,atakushaur zaidi vipimo vya kupima kikiwemo na hiko cha mzio.usipoteze muda mwenzio yalinikuta kwa pacha wangu ndo kisa hata nikaamua kusomea UDKT kwa faida ya wengi.
 
Mimi pia nikuwa na tatizo hilo, nikaenda hospitali, nikakutwa na allergy ya vitu mbalimbali, after treatment na kuacha vitu fulani, sasa naendelea vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom