Anicet mchomvu
Member
- Apr 18, 2012
- 95
- 213
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa masuala ya lishe (nutrition) wa nchini Nigeria, umebaini kuwa nyama ya konokono ni nzuri kwa afya yako, kwani ina protein nyingi, calcium na madini ya chuma kuliko nyama zingine, na muhimu sana kwa afya ya mtoto na mama mjamzito.
