happy birthday mr kongosho ....
salimia wife na watoto...
Yaani nina hasira heri niseme tu ili yaishe,
mie tarehe 15 birthday yangu ilipita kavu kavu
kwanini Theboss akuanzishie uzi wewe Kongosho.
Ukinipa jibu tu ndo walauuuuu.
Leo ni june 19th,anza kuhesabu siku,kwa mapigo ya jana tutarajie ng'wee ng'wee kwenye mid march 2013!
Happy belated birthday Konnie, ni matumaini yangu kuwa ulijivinjari vya kutosha na naniliu bada ya kumalizana na Bishanga
Leo ni june 19th,anza kuhesabu siku,kwa mapigo ya jana tutarajie ng'wee ng'wee kwenye mid march 2013!
Nakuandalia zengwe.....we subiri tu.