Kondomu zaadimika mitaani,tatizo nini?

Kondomu zaadimika mitaani,tatizo nini?

Vya bure mmekosa na mtu mzima akitaka kukufukuza hakuambii toka ila utaonyeshwa njia tu
Kama huwezi acha uzinzi okota mifuko ya plastic inayoharibu mazingira halafu nunua na glue tengeneza zako
Hicho kitakuwa kiwanda tosha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Ngoja wazinzi wenzio wanakuja watakuambia tatizo liko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga huwa akipewa hoja huwa anajibu kama unavyojibu wewe bila kufikiri madhara yake! Waziri wa Afya alishawahi kukana hili hata mimi nishawahi kulifanyia kazi hili sakata (nami sijui utaniita mzinzi) lakini ni kweli Condoms hakuna zimeadimika
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
Watumiaji wa condom ni wachache sana, na isitoshe wanawake hawazipendi kabisa zinawakata stimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
Unaishi wapi ndugu mpaka dawa ya mapenzi isiwepo? mbona watu wanaendelea kutoa huduma na zana zinapatikana kwa wingi tu? au unazungumzia aina ya Condom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheap condoms ndio adimu ..zimebaki branded condoms ambazo affordability kwa vijana wangi ni tatizo..Nadhani ni process ndefu ya kuziingiza nchini ndio tatizo
Nadhani alimaanisha hivi sema kashindwa kuweka vzr habari yake! Condom zipo tu watu wanapiga mechi bila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.
Ungeenda mwenyewe mkuu! 😛
 
Tatizo kujidai donor country wakati kutengeneza hata tu kununua kondomu washamba na malimbukeni hawawezi.
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
Hivi kwa ukata huu bado una hamu ya kufanya hayo mambo ndugu? Baki njia kuu..michepuko ndo mnasababisha jua liwake hivi. Wale wahisani wamesusa kuwaletea.,mzaane tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.

Tatizo ni kuwatunishia kifua wenye nazo
 
mkuu kweli nauza dukani huwa nanunuaga manzese tiptop maduka ya jumla last week nimetafta balaa hakuna kabisahii bidhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US AID imeacha kuhudumia Tanzania kwenye eneo hilo kutokana na hujuma za wazi za uzazi wa Mpango zinazofanywa na Serikali ( fyatueni elimu ni bure ) , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu , ukatiri na uminywaji wa demokrasia ni sababu nyingine zilizochangia wazungu kujitoa , kuna taarifa kwamba kinachofuatia ni ARVS
Uko sawa ila kwenye ARV kukatwa hakuna kitu kama hicho!
 
US AID imeacha kuhudumia Tanzania kwenye eneo hilo kutokana na hujuma za wazi za uzazi wa Mpango zinazofanywa na Serikali ( fyatueni elimu ni bure ) , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu , ukatiri na uminywaji wa demokrasia ni sababu nyingine zilizochangia wazungu kujitoa , kuna taarifa kwamba kinachofuatia ni ARVS
Mkuu umeongea point sana.. Yani ndomu zimehadimika balaa.. Zimebaki za buku 2 kuendeleee... Vijana wengi hawawezi kuzimuduu Hali sio nzuri kabisaa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kufuatilia hili suala ni kwamba takribani mwezi mzima sasa kuna uhaba wa mipiria ya kiume Condoms, hili linaweza lisisemwe au likapuuzwa lakini ieleweke kua kuna hatari kubwa sana kukaongezeka kwa maambukizi ya VVU mtaani.

Siku ya juzi nilijaribu kuwatuma vijana wangu kufuatilia mtaani katika jiji la Dar ni takribani Pharmacy nyingi sana zina uhaba wa mipira hiyo,hata mahali ambapo zinapatikana ni kwa gharama kubwa sana tofauti na awali.

Ni wito wangu kwa mamlaka husika kulifatilia hili suala kwa makini na ukaribu ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya taifa, sote tunaelewa ni jinsi gani mipira hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusu vya UKIMWI VVU na Mimba zisizotarajiwa.
mm ninazo tunaweza kuokoana
 
Huko kwenu nyama bado mnafunga kwenye Foil?
 
Wizara ya Afya, Bohari ya Dawa (MSD) na mamlaka zinazohusika mnaweza kutuambia shida ipo wapi mpaka kondom zimeadimika mitaani?

Kila duka la dawa ukiingia unaambiwa kondom zimeisha, ni mwezi wa pili huu sasa kumekuwa na hii changamoto. Mnataka na sisi watumia kondom tuombe kikao na raisi ndio mtukumbuke?
 
Back
Top Bottom