Kondomu Yakutwa Ndani ya Soda Dar

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,394
58,201
1131.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar

1130.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.
1129.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.


1128.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.
 

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,156
160
1131.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar

1130.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.
1129.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.


1128.jpg


Kondomu iliyopasuliwa imekutwa ndani ya chupa ya soda wakati mteja akijiandaa kuifungua kutuliza kiu yake jijini Dar es Salaam.
Wewe mfanyakazi au mfanyabishara wa kampuni gani ya soda?
Siipendi
 

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,156
160
I think hii ni janja ya wafanyabiashara maana hakuna uhusiano kabisa
 

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
50,121
71,971
Dah, jamaa kaua ndege wawili kwa jiwe moja!! yaani kununua soda unapata na zana!!! tena tayari iko ndani ya kinywaji??? upate bahati gani tena wewe???Just kidding, that is an issue ni lazima kuwepo na ufuatiliaji mkubwa na wa karibu!!! Binafsi nilishakuta uchafu mwingi sana kwenye soda fulani hivi pale UDSM mwaka 2005
 

Preta

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
24,316
18,715
kwenye bia hakuna vitu akama hivi :smile-big:

yah kwenye bia kunakuwa hakuna vitu kama hivi kunakuwaga na vimende vya hapa na pale na kama ukiwa umeshadevera sio rahisi kuving'amua
 

Andrew Kellei

JF-Expert Member
Sep 11, 2009
348
122
hiyo ni ishu....bonite wameshatoa tamko?

Dada Preta bonite ipo shirimatunda kama unaelekea mabogini,huko kwetu na inasambaza soda mikoa inayopakana na k'njaro tu,huku dar kuna cocacola kwanza kipo mikocheni industrial area.
 

geophysics

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
904
165
Huyu Jamaa mie ninamfahamu...alikuwa akihudumia bar ya Face to Face karibu na Break Point.... Sasa hivi yupo kwenye Bar ya Roosevelt pale Mbezi Beach.... Sasa sjui hiyo soda imepatikana bar gani na ni nani anayo kwa sasa ili tuanza kuandaa lawsuit na claims maana hawa watu wenye viwanda wanahatarisha maisha ya viumbe hai
 

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,394
58,201
Huyu Jamaa mie ninamfahamu...alikuwa akihudumia bar ya Face to Face karibu na Break Point.... Sasa hivi yupo kwenye Bar ya Roosevelt pale Mbezi Beach.... Sasa sjui hiyo soda imepatikana bar gani na ni nani anayo kwa sasa ili tuanza kuandaa lawsuit na claims maana hawa watu wenye viwanda wanahatarisha maisha ya viumbe hai
haijalishi.....
 

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
sina hakika kama hii habari ya kweli, inwewzekana kuna mbinu chafu za ushindani wa kibiashara. habari nyeti kama hii tungekuwa tumeshaisikia kwenye vyombo vya habari......
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom