Kondo Cemetery Nini Kinaendelea Huko?.

Kondo Cemetery Nini Kinaendelea Huko?.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,202
Reaction score
25,378
Nimezoom kwa kutumia google map hainipi real on time action.
1000043854.jpg


Labda kuna kitu hapa Dodoma kinazuia ila kuna nyie mliopo Daresalama huko ununio mtupe taarifa kama zipo.

Jana kuna jamaa alisema tumieni drones kuzoom matukio, vipi mmeshindwa?.

Nasubiri kifuatacho.
 
Watanzania ondoeni Shaka hawa jamaa hata waende wapi bado tutapata Tu ushahidi.
Kumbukeni hii vita ni ya MUNGU mwenyewe dhidi ya CCM
 
Back
Top Bottom