Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 891
- 1,237
Natumaini mko salama wakuu.
Ubuyu si neno jipya kwa,sasa ni neno linalotumika kugusia au,kudokeza suala ambalo linazunguzwa na watu lakini linaweza lisiwe proved publically au kutangazwa.
Ubuyu wakati mwingi huzungumzia maneno yaliyo mtaani kuhusu,,mtu,watu, au,serikali.
Sifa ya ubuyu au minongonongo mara nyingi asilimia kubwa huwa ni kweli maana hizi,huwa ni habri za wazee wa kijiweni kwenye kahawa, lakini wasemalo huwa lipo au laja.
Sasa kuna ubuyu kadha wa kadhaa nasikia kwa wazee wa chai kuhusu upepo wa siasa saivi nchini.
Mie nimepata ubuyu kadhaa na wewe kama unao utaongezea.
Mie siyo shabiki wala mdau wa siasa ila napongeza na kukosoa yoyote anayefanya vzr.
Twende pamoja, ubuyu No.
1. KAMATI KUCHUNGUZA B.O.T
Kila mmoja anakumbuka kuwa Maza aliunda kamati kuchunguza BOT lakini mpaka leo ni kimya.
Inasemekana ule mtonyo master mind alikuwa Kalimanzira ambaye alikuwa waziri wa fedha kipindi kile, akishirikiana na Mpwa wa mwendazake aliyekuwa katiba wa wizara Nahis ni J.Dotto,
Utafiti umegonga Besela maana wahusika ndiyo wako na maza na wamepanda cheo,,inaweza hii ripoti isitoke, Tuendelee kutafuna ubuyu tukisubiri matokeo.
2. ALIPOZIKWA JIWE C...H...A....T...O.
Wazee wachai wanasema pale alipozikwa jiwe ni kwa baba yake siyo home kwake walipokuwa wanafikia marais.
Yaani jiwe yeye makazi yake haikuwa pale inasemekana ni mlimani , Yaani eneo hilo amejenga nyumba 4 za ukweli kama Casino ambazo zimo full kila kitu na maraisi wakifika walikuwa wanafikia hapo kila nyumba ilikuwa na wahudumu full raha sehemu ya kumlaza Rais wa nchi nyingine si jambo dogo, mzee alitumaliza.
3. UTEUZI WA MABALOZI.
Inasemekana kwa sasa mambo mengi maza anaomba support kwa mzee wa MSOGA yaani saiv nchi ni kama mzee baba ndiyo anaiongoza kwa Remote. Maza ni kama bado ana wenge la cheo hicho hivyo hana budi kumchek mzee amsaidie, Kwa kuwa ni ubuyu ngoja tuendelee kuchek movie yote.
Hata kipindi cha uchaguzi wa maza kuwa mwenyekiti nasikia watu walianza kutaka kudoble cross maza lakini mzee akaingilia kati mambo yakawa shwari.
4. MIFUMO YA SERIKALI.
Kuna wimbi kubwa na watu wanajaribu kupima kina cha maji kwa maza na kuona upepo wake,,coz waliwekwa na Jiwe so hawana uhakika na upepo wa maza,,hivo wameanza kutikisa kibiriti na kujihami kwa kula mpunga unaowasogelea hata wakipumzishwa wawe na pakuanzia.
Mfano.
a) Suala la maroli bandarini.
b) Tanesco luku.
c) Maofisi kila dk hakuna ntwk
Mambo haya sikuwa zamani hayakuwepo yalikuwepo ila tu hayakutangazwa.
5. USHINDI WA CCM 2020.
Kada mmoja mjumbe wa kamati ya ccm aliyepewa cheti baada ya uchaguzi kwa kupongezwa kwa figisu.
Aliniambia wana mbinu 100 za ushindi na kubakia madarakani na mbinu iliyotumika mwaka jana na kuondoa upinzani ni mbinu namba 4B akamanisha mbinu 96 bado hazijaguswa na hiyo namba 4 ilikuwa 4B hata 4A hawajagusa.
Anadai sera yao ni kuwa afe kipa, afe beki na hata kula kichwa cha mtu wako tyr endapo tu wataona unawakwamisha.
Kwa,hiyo bado tuna sfr ndefu wakuu.
Kwa leo nimeishia hapo lakini kama na wewe una ubuyu karibu tuendelee kutafuna maana nchi inakwenda kasi sana.
Ubuyu si neno jipya kwa,sasa ni neno linalotumika kugusia au,kudokeza suala ambalo linazunguzwa na watu lakini linaweza lisiwe proved publically au kutangazwa.
Ubuyu wakati mwingi huzungumzia maneno yaliyo mtaani kuhusu,,mtu,watu, au,serikali.
Sifa ya ubuyu au minongonongo mara nyingi asilimia kubwa huwa ni kweli maana hizi,huwa ni habri za wazee wa kijiweni kwenye kahawa, lakini wasemalo huwa lipo au laja.
Sasa kuna ubuyu kadha wa kadhaa nasikia kwa wazee wa chai kuhusu upepo wa siasa saivi nchini.
Mie nimepata ubuyu kadhaa na wewe kama unao utaongezea.
Mie siyo shabiki wala mdau wa siasa ila napongeza na kukosoa yoyote anayefanya vzr.
Twende pamoja, ubuyu No.
1. KAMATI KUCHUNGUZA B.O.T
Kila mmoja anakumbuka kuwa Maza aliunda kamati kuchunguza BOT lakini mpaka leo ni kimya.
Inasemekana ule mtonyo master mind alikuwa Kalimanzira ambaye alikuwa waziri wa fedha kipindi kile, akishirikiana na Mpwa wa mwendazake aliyekuwa katiba wa wizara Nahis ni J.Dotto,
Utafiti umegonga Besela maana wahusika ndiyo wako na maza na wamepanda cheo,,inaweza hii ripoti isitoke, Tuendelee kutafuna ubuyu tukisubiri matokeo.
2. ALIPOZIKWA JIWE C...H...A....T...O.
Wazee wachai wanasema pale alipozikwa jiwe ni kwa baba yake siyo home kwake walipokuwa wanafikia marais.
Yaani jiwe yeye makazi yake haikuwa pale inasemekana ni mlimani , Yaani eneo hilo amejenga nyumba 4 za ukweli kama Casino ambazo zimo full kila kitu na maraisi wakifika walikuwa wanafikia hapo kila nyumba ilikuwa na wahudumu full raha sehemu ya kumlaza Rais wa nchi nyingine si jambo dogo, mzee alitumaliza.
3. UTEUZI WA MABALOZI.
Inasemekana kwa sasa mambo mengi maza anaomba support kwa mzee wa MSOGA yaani saiv nchi ni kama mzee baba ndiyo anaiongoza kwa Remote. Maza ni kama bado ana wenge la cheo hicho hivyo hana budi kumchek mzee amsaidie, Kwa kuwa ni ubuyu ngoja tuendelee kuchek movie yote.
Hata kipindi cha uchaguzi wa maza kuwa mwenyekiti nasikia watu walianza kutaka kudoble cross maza lakini mzee akaingilia kati mambo yakawa shwari.
4. MIFUMO YA SERIKALI.
Kuna wimbi kubwa na watu wanajaribu kupima kina cha maji kwa maza na kuona upepo wake,,coz waliwekwa na Jiwe so hawana uhakika na upepo wa maza,,hivo wameanza kutikisa kibiriti na kujihami kwa kula mpunga unaowasogelea hata wakipumzishwa wawe na pakuanzia.
Mfano.
a) Suala la maroli bandarini.
b) Tanesco luku.
c) Maofisi kila dk hakuna ntwk
Mambo haya sikuwa zamani hayakuwepo yalikuwepo ila tu hayakutangazwa.
5. USHINDI WA CCM 2020.
Kada mmoja mjumbe wa kamati ya ccm aliyepewa cheti baada ya uchaguzi kwa kupongezwa kwa figisu.
Aliniambia wana mbinu 100 za ushindi na kubakia madarakani na mbinu iliyotumika mwaka jana na kuondoa upinzani ni mbinu namba 4B akamanisha mbinu 96 bado hazijaguswa na hiyo namba 4 ilikuwa 4B hata 4A hawajagusa.
Anadai sera yao ni kuwa afe kipa, afe beki na hata kula kichwa cha mtu wako tyr endapo tu wataona unawakwamisha.
Kwa,hiyo bado tuna sfr ndefu wakuu.
Kwa leo nimeishia hapo lakini kama na wewe una ubuyu karibu tuendelee kutafuna maana nchi inakwenda kasi sana.