Jibu anaweza kutupatia Jerry Muro.
Kwamba, hata wakati ule hizo speed governors zinafungwa, bado mabasi yalikuwa yanapitiliza mwendo, basi liliotoka Dar muda fulani labda linategemewa Chalinze baada ya masaa 2 kwa kuwa na speed governor lakini linafika kwa lisaa 1. Pale Chalinze (kwa mfano) askari wa usalama barabarani analiona hilo lakini basi litaachiwa liendelee na safari.