Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Umezuka mvutano katika magazeti kati ya Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani na Mohamed Abdullah Mwenyekiti wa Tanzania Bus Owners Association kuhusu speed governors (Luku). Kikosi cha Usalama barabartani kinataka mabasi yote ya kwenda mikonai yafungwe speed governors by 20th February 2010, in accordance to the Road Traffic Act No 30 of 1973, amendementa of 1996; kama njia mojawapo ya kupunguza ajali za barabarani na loss of innocent lives; na TABOA wanasema hawafungi n'go.
Je ni nani yuko right?
Je ni nani ataibuka mshindi? Naomba mnisaide ushauri
Je ni nani yuko right?
Je ni nani ataibuka mshindi? Naomba mnisaide ushauri