oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Shukrani kwa TFF kwa kuratibu mashindano ya Taifa kapu, kama itatokea mwakani kombe likawa halijumuishi mchezaji yeyote wa ligi kuu, litanoga!
Mfungaji bora hatategemea uzoefu wake wa ligi kuu kama mwaikimba jana wala bingwa hatategemea ubora wa wachezaji wa ligi kuu aliowatumia.
Kwa kufanya hivyo tutaibua vipaji na kuzuia masking iliyofanywa na akina Jerry na Mwaikimba mashindano ya mwaka huu.
Nawasilisha!
Mfungaji bora hatategemea uzoefu wake wa ligi kuu kama mwaikimba jana wala bingwa hatategemea ubora wa wachezaji wa ligi kuu aliowatumia.
Kwa kufanya hivyo tutaibua vipaji na kuzuia masking iliyofanywa na akina Jerry na Mwaikimba mashindano ya mwaka huu.
Nawasilisha!