KOMBE LA DUNIA NA kuchelewa kurudi nyumbani

ha ha ha , usiogope!
umenisahau wakati tulikuwa wote chuo?
mimi nilisomea MASTAAZ OF SCIENCE IN INFIDELITY,CUSTOMS AND TRADITIONS UPHOLDING(M.SC.I.C.T.U):party:
nilikuwa na A+ tu mwaka wa kwanza mpaka wa sita
 
Mate tukutane leo saa 6 kamili usiku pale zero pub kwa ajili ya tathmini ya match kati ya Sauz na Uruguay. (Na hii ifowadi kwa waifu kama kinga ya kuchelewa kurudi leo:hail:)

Duh Ziro PUB - kuna ulinzi pale kweli? nasikia wazee wa kazi wanakusanya hadi simu duh bora tuende tu pale pale tu kwa zamani pale "nyamachabezi" mate.

ha ha ha, ka shemeji kako kakali kama nyuki - kanacheza central defence si mchezo - lakini hakajui kuwa hata akina Lucio huwa wanapitagwa.... unastukia nyavu....
 
Teamo kumbe ndoa ni ngumu hivyo mpaka uombe world cup iendelee kwa mwaka.... i feel for u broda....
 
Fidel ahhh mie nipo sipo bana...

mechi naziangalia kwenye gazeti... :embarrassed:
 
Duh Ziro PUB - kuna ulinzi pale kweli? nasikia wazee wa kazi wanakusanya hadi simu duh bora tuende tu pale pale tu kwa zamani pale "nyamachabezi" mate.

ha ha ha, ka shemeji kako kakali kama nyuki - kanacheza central defence si mchezo - lakini hakajui kuwa hata akina Lucio huwa wanapitagwa.... unastukia nyavu....
Hahahahaha! Mate hebu kakague nimekuzawadia nini kwenye hii yuziful posti......
 
UPHOLDING(M.SC.I.C.T.U) nilikuwa na A+ tu mwaka wa kwanza mpaka wa sita

Na kwa sasa upo kwenye write-up ya papers za PhD.
Hypothesis: People who don't drink and have tendencies of staying out late at night are the ones on the top list of MEN WITH NYUMBA NDOGOZ.
 
Na kwa sasa upo kwenye write-up ya papers za PhD.
Hypothesis: People who don't drink and have tendencies of staying out late at night are the ones on the top list of MEN WITH NYUMBA NDOGOZ.
Haleluya! Wanawake wote semeni AMEEEEEN!

Umejuaje?? sasa mimi nikiwa kaunta naona bar maid tu na bia mabia/makonyagi
Hakuna raha kama kusimuliwa matokeo ya Mpira huku glasi ya nyagi/bia/valuu iko mkononi. Inapendeza kuliko kuwa uwanjani au kuangalia kwenye luninga....
 
Hakuna raha kama kusimuliwa matokeo ya Mpira huku glasi ya nyagi/bia/valuu iko mkononi. Inapendeza kuliko kuwa uwanjani au kuangalia kwenye luninga....

:confused2:...Kumbe zile bigi skrini tulizokuwa tunaambia hapa sio zenyewe...:sad:
 
Hakuna raha kama kusimuliwa matokeo ya Mpira huku glasi ya nyagi/bia/valuu iko mkononi. Inapendeza kuliko kuwa uwanjani au kuangalia kwenye luninga....

Sisi tunaochelewaga kila siku!! kipindi hiki cha weldi kapu wawekwezaji wetu wanajua hakitupi tabu!! kwanza ukiangalia mpira, then asubuhi hukumbuki aliyefungwa na nani kafunga si uchuro tu huo!! bora kusimuliwa kuliko kuumiza macho na kesho yake usikumbuke!!!
 
Back
Top Bottom