Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 86
hahahahaha!mkuu ******* safari hii atahamia kabisa KIMARA-BARUTI.....!kwa mamaa la j-o-y
Khaaa...:shock: ...we si ulivunjika moyo huko juzi tu?? au umefunga na Supa Gluu...:smiling:
hahahahaha!mkuu ******* safari hii atahamia kabisa KIMARA-BARUTI.....!kwa mamaa la j-o-y
natamani kama world-cup ingechezeshwa hata mwaka mzima.....
haka ndo ka-mwezi pekee kakuchelewa kurusi nyumbani kwa kizingizio cha NILIKUWA KWENYE BIG SCREEN
HEEEEY MY BRAAAAAA UTIIIINIIIIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEENAAAAA!
legreeeeend maan shap shaaaaaaap!
Ndugu yenu nimeshapewa ruhusa ya kuchelewa kurudi,sijui watu wangu x-pin,next level,maskini jeuri,fidel,roya roy,kaizer,KIMEY,edson,D5,BAK,na wengineo
WITO MAALUMU:firstlady1,carmel,mwanajamiione,nyamayao,askofu,bht,js,charity et al naomba MUWAPE RUHUSA WAWEKEZAJI WAUNGANE NA WAWEKEZAJI WENZAO KWENYE MA-BIG SCREEN kwa ajili ya kushangiliaa WOOOOOZAAAA WOOOZAAAAA!hakuna mkakati wa kudumisha desturi NI MAMBO YA WELDI-CUP TU!
tunaanza leo sasa:SOUTH AFRICA VS MEXICO,then saa mbili hivi ni FRANCE VS URUGUAY
Kwani kuna ubaya gani naye akijiruhusu kwenda kuangalia weldi kapu?Angalia sana mkulu.. Unaweza pata ruhusa, na yeye akajiruhusu mwenyewe.. Maana anayo ratiba yote!
hehehehe!umeona EEEH!kuna jamaa angu mmoja amegoma kulipia dstv mwezi wa sita na wasaba ili awe na kisingizio tosha cha WELDI KAPU NA BIG SCREEDJe, kama mama naye ni mpenzi wa soka si mnaenda kuangalia wote pamoja na wadau? Ah! nikiwa na mama pale noma njemba nyingine zinaweza kuanza kumpigia mahesabu...LOL!
hehehehe!umeona EEEH!kuna jamaa angu mmoja amegoma kulipia dstv mwezi wa sita na wasaba ili awe na kisingizio tosha cha WELDI KAPU NA BIG SCREED
tatizo ukilipia atajenga hoja za wewe KUANGALIZIA NYUMBANI!unajua madhara yake????mtaishia kucheza mechi yenu tu kitandani!unaweza mpa mtu mimba wakati ananyonyesha kisa WELDI KAPUMhhh! huo sasa ni ukatili si umuache naye ajirushe nyumbani hata kama hutaki kwenda naye kwa wadau?
Angalia sana mkulu.. Unaweza pata ruhusa, na yeye akajiruhusu mwenyewe.. Maana anayo ratiba yote!
Mhhh! huo sasa ni ukatili si umuache naye ajirushe nyumbani hata kama hutaki kwenda naye kwa wadau?
umenifurahisha sana kwakweli na comment lako bht haki sawa kwa woootemi mwenyewe ntaenda huko kwenye big screen!!! so he has to choose tuende wote au we go separate ways!!!
Ndo manake bhtmi mwenyewe ntaenda huko kwenye big screen!!! so he has to choose tuende wote au we go separate ways!!!
Ndo manake bht
duh poleni, mie Mr hata hajui la kheri wal la shari kuhusu world cup..... mwezi huu ndio war
tu watagombana kweli!! Bht hapo utamuweza kabisa...kila mtu akaone mechi big screen mtakutana baadaye...na si unajua kuna after match analysis so kurudi ni kama 2 hrs after the game? sipo mie!!
eeeh mwaya......
Shishi wako hapendi futibal? au ndo vile tu pingu bado brad nu so manatazamia home
mmmmm bahati wangu hajui head or tail abt soccer....kwake sio lazima tutatazamia home tena sio mechi zote.... bado we want to just sit and gaze into each others eyes .....aahahhaha kabla watoto waje kutuharibia taratibu zetu.
Je, kama mama naye ni mpenzi wa soka si mnaenda kuangalia wote pamoja na wadau? Ah! nikiwa na mama pale noma njemba nyingine zinaweza kuanza kumpigia mahesabu...LOL!