mzizi dawa
Senior Member
- Mar 1, 2012
- 118
- 12
Abari zakuaminika toka mtoa abari wangu,kwamba aijafaamika bado kua MUESHIMIWA KOMBA amefuata nini kwa mbunge wa Monduli,MUESHIMIWA KOMBA ameonekana akiwa na usafiri wa gari aina ya Costa,akiwa yeye na derevatu,akiulizia kwa mbunge wa monduli.makamanda mlio neru tuwe makini na uyu mtu pia abari ziwafikie maafisa watakukuru sababu aiwezekani komba asafiri na costa,izo nimbinu zakupoteza maafisa watakukuru malengo.