Komba afukuzwe nae. Tazama hii.

Komba afukuzwe nae. Tazama hii.

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,355
Kama kawaida yake mkono wa kulia upo kazini.
 

Attachments

  • 1413022538047.jpg
    1413022538047.jpg
    32 KB · Views: 1,390
mbona mmekazia kuwatoa polis na komba tu machemli mnamwacha wapi?
 
afukuzwe wapi??
chura hawezi kufukuzwa kwa kosa la kuogelea kwenye maji, hicho anachokifanya ndio jadi kuu ya ccm.
 
Hapa sioni mutual attitude, consensus wala reciprocation . Ninanachokiona ni kwamba komba anaashiria kubaka tu!.
 
awe na mpira halfu kabaki yeye na minguzo tu bila golikipa ....hawezi fungaaaa...bisha uone,,...
 
sera ya ccm ni kubanjuana kwenye mikutano yao na mikesha ya mwenge
 
Back
Top Bottom