Kama kawaida yake mkono wa kulia upo kazini.
mbona mmekazia kuwatoa polis na komba tu machemli mnamwacha wapi?
Kama kawaida yake mkono wa kulia upo kazini.
hapo comrade komba ni kazi na dawa kabla hajakuletea..nambari wani eeeh..afukuzwe wapi??
chura hawezi kufukuzwa kwa kosa la kuogelea kwenye maji, hicho anachokifanya ndio jadi kuu ya ccm.
hapo comrade komba ni kazi na dawa kabla hajakuletea..nambari wani eeeh..afukuzwe wapi??
chura hawezi kufukuzwa kwa kosa la kuogelea kwenye maji, hicho anachokifanya ndio jadi kuu ya ccm.
Komba sio mngoniWangoni bana!