Kolabo bora katika Bongofleva

Kolabo bora katika Bongofleva

Aaa kumbe ni ya Juliana mi nilijua ni ya bushoke, alijitahidi kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka ilileta utata kwenye tuzo za kili maana nakumbuka kama ilishinda wimbo bora wa mwaka ila tuzo ikawa directed kwa bushoke ambaye ndie writer. Bushoke kiroho safi akaomba ipelekwe kwa juliana maana ndo mwenye rights zaidi na hiyo single
 
Hakuna kolabo kama Ferouz ft professor jay - starehe
Hafsa kazinja & Banana zoro - Presha
F.a ft vanesaa dume suruali
Darasa ft Rich mavoco -Kama utanipenda/ ft ben pol Maisha na Muziki
Neila chid & Tundaman
 
Wimbo wa Sikiliza wa Ngwair ft Mwana FA na Lady Jay Dee kwangu mimi unabaki katika rekodi zangu kama wimbo bora wa kushirikiana (kolabo) katika historia ya muziki wa bongofleva.

Kwako wewe ni upi? Karibu utupe mawazo yako
Mimi kwangu wimbo wa "mapenzi gani" ngwair ft jide naona ndiyo the best collaboration katika bf

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom