KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
BB Gout perfume by Koffi Olomide..................BB GOUT perfum perfume de koffi olomide!
Yule nguli wa muziki wa congo simba wa africa Papaa na SEAN JAMES,PAPAA na DELPIRO,PAPA na DIDISTONE amevunja ukimya miongoni mwa wanamuziki wa congo kujihusisha pia na ujasiriamali hususan kwa kuanzisha clothing line n.k. kama wafanyanyavyo wanamuziki ama watu maarufu wa marekani na ulaya kutumia umashuhuri wao kufanya ujasiriamali kwa kuanzisha product zenye nembo na majina yao koffi amefungua njia kwa wanamuziki maarufu wacongo kwa yeye kuanzisha perfume line yake ambapo ameintroduce perfume yake kama inavyoonekana kwenye tangazo lilipo kwenye "poster" hiyo hapo juu,jina la perfume hiyo limetokana na wimbo huu hapa chini ambao koffi aliutunga kwa ajili ya kumuelezea mwanamke mrembo BB GOUT wimbo ambao unapendwa sana na kina dada kwenye ulimwengu wa wazungumza lingala africa na ulaya...
Yule nguli wa muziki wa congo simba wa africa Papaa na SEAN JAMES,PAPAA na DELPIRO,PAPA na DIDISTONE amevunja ukimya miongoni mwa wanamuziki wa congo kujihusisha pia na ujasiriamali hususan kwa kuanzisha clothing line n.k. kama wafanyanyavyo wanamuziki ama watu maarufu wa marekani na ulaya kutumia umashuhuri wao kufanya ujasiriamali kwa kuanzisha product zenye nembo na majina yao koffi amefungua njia kwa wanamuziki maarufu wacongo kwa yeye kuanzisha perfume line yake ambapo ameintroduce perfume yake kama inavyoonekana kwenye tangazo lilipo kwenye "poster" hiyo hapo juu,jina la perfume hiyo limetokana na wimbo huu hapa chini ambao koffi aliutunga kwa ajili ya kumuelezea mwanamke mrembo BB GOUT wimbo ambao unapendwa sana na kina dada kwenye ulimwengu wa wazungumza lingala africa na ulaya...
Last edited by a moderator: