Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Dar es salaam ndo sehemu pekee hapa Tanzania ambayo kila mtu anatozwa kodi kulingana na utashi wa afisa kodi wa TRA. Hakuna standard ya kutoza kodi ambayo inatoa usawa kwa walipaji.
Si ajabu ukawa na ghorofa ya 800m mbezi au Masaki ukalipa 50,000 kama maelekezo ya bunge yaliyo na mwenzio akawa na nyumba ya kawaida Bunju akalipa 300,000 yaani hakuna usawa kabisa.
Nafikiri ifike mahali kodi ilipwe kulingana Na maelekezo ya bunge ili kuondoa ubaguzi. Sisi wananchi tuko tayari kulipa kodi ila kuwe na usawa na bila ubaguzi au kufahamiana.
Natambua hata rais angependa kuona wananchi tunaishi maisha mazuri maana ndiyo ndoto yake. Tunaomba TRA wazingatie USAWA NA KUONDOA KUFAHAMIANA!
Si ajabu ukawa na ghorofa ya 800m mbezi au Masaki ukalipa 50,000 kama maelekezo ya bunge yaliyo na mwenzio akawa na nyumba ya kawaida Bunju akalipa 300,000 yaani hakuna usawa kabisa.
Nafikiri ifike mahali kodi ilipwe kulingana Na maelekezo ya bunge ili kuondoa ubaguzi. Sisi wananchi tuko tayari kulipa kodi ila kuwe na usawa na bila ubaguzi au kufahamiana.
Natambua hata rais angependa kuona wananchi tunaishi maisha mazuri maana ndiyo ndoto yake. Tunaomba TRA wazingatie USAWA NA KUONDOA KUFAHAMIANA!