Kodi ya majengo haswa kwa nyumba ambazo hazijapimwa, hazina hati miliki wala namba za mitaa/namba za nyumba ni vigumu kukusanya kodi mpaka pale utaratibu mzuri utakapo wekwa.
Watu wengi wanao miliki nyumba wapo katika maeneo yasiyo rasmi, nyumba hazina hati, hazina namba lakini baya zaidi makadirio yaliyofanywa na maafisa wa TRA hayajazingatia vigezo hivyo kodi kuwa kubwa au hata kuwa ndogo.
Kodi ya majengo iangaliwe upya ndipo tuanze kutoza.
Kwa sasa hivi bili za madai ya kodi za majengo zimelundikana ktk ofisi za serikali za mitaaa wahusika hawajui lolote.
Watu wengi wanao miliki nyumba wapo katika maeneo yasiyo rasmi, nyumba hazina hati, hazina namba lakini baya zaidi makadirio yaliyofanywa na maafisa wa TRA hayajazingatia vigezo hivyo kodi kuwa kubwa au hata kuwa ndogo.
Kodi ya majengo iangaliwe upya ndipo tuanze kutoza.
Kwa sasa hivi bili za madai ya kodi za majengo zimelundikana ktk ofisi za serikali za mitaaa wahusika hawajui lolote.