Kodi bado inapotea na kukwepwa sana..

Kodi bado inapotea na kukwepwa sana..

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,613
Binafsi naamini kama Serikali inataka kuwa makini kabisa na masuala ya Kodi..
Ingeachana kabisa na mfumo wa sasa wa kuweka serikali wilayani..

Huu mfumo wa serikali kuwa wilayani au Halmashauri ni mfumo wa kurithi kutoka kwa wakoloni ...

Wakati wakoloni wanaanzisha hii mfumo ya Bomani au wilayani au Halmashauri..
Idadi ya Watanzania ilikuwa chini ya milioni 7..

Leo Tanzania ina watu million 60 na zaidi

Bado serikali inaanzia Wilayani....

Watu wengi hawaguswi kabisa na huduma za kiserikali ..ukiweka kodi..

Serikali inapaswa sasa kupeleka huduma za Halmashauri kwenye kila KATA..

Kata itimie kwa huduma zote za Halmashauri na kodi..

Kila mwananchi amalize kila kitu kwenye kata yake..
TRA kata
Ardhi Kata.
Mahakama Kata..
Polisi Kata..

Haya yakiwepo watu watashindwa kukwepa kodi..
Kazi zote kwenye kata zinaonekana..
Migogoro ya ardhi itapungua..
Foleni za kesi zitaisha..
Usalama utaongezeka..polisi watakuwa na eneo dogo la kusimamia..
Chukulia gari ya doria itakua inazunguka kwenye kata yake tu..
Afisa Kodi ataishi na kufanya kazi eneo lake dogo tu ..na kulisimamia...

Serikali itapata mapato sana
Na wananchi watapunguza kuteseka..

Viongozi wetu waanze hili kulifanyia mchakato hata kwa Miji mikubwa Tu kama
Dar . Mwanza .waone impact yake. ..


Serikali isogee karibu kwa wananchi
 
Ugatuzi wa madaraka,ni wazo zuri lakini hujasema viongozi katika level ya kata wanawajibika wapi? Mkoani ?
 
Binafsi naamini kama Serikali inataka kuwa makini kabisa na masuala ya Kodi..
Ingeachana kabisa na mfumo wa sasa wa kuweka serikali wilayani..

Huu mfumo wa serikali kuwa wilayani au Halmashauri ni mfumo wa kurithi kutoka kwa wakoloni ...

Wakati wakoloni wanaanzisha hii mfumo ya Bomani au wilayani au Halmashauri..
Idadi ya Watanzania ilikuwa chini ya milioni 7..

Leo Tanzania ina watu million 60 na zaidi

Bado serikali inaanzia Wilayani....

Watu wengi hawaguswi kabisa na huduma za kiserikali ..ukiweka kodi..

Serikali inapaswa sasa kupeleka huduma za Halmashauri kwenye kila KATA..

Kata itimie kwa huduma zote za Halmashauri na kodi..

Kila mwananchi amalize kila kitu kwenye kata yake..
TRA kata
Ardhi Kata.
Mahakama Kata..
Polisi Kata..

Haya yakiwepo watu watashindwa kukwepa kodi..
Kazi zote kwenye kata zinaonekana..
Migogoro ya ardhi itapungua..
Foleni za kesi zitaisha..
Usalama utaongezeka..polisi watakuwa na eneo dogo la kusimamia..
Chukulia gari ya doria itakua inazunguka kwenye kata yake tu..
Afisa Kodi ataishi na kufanya kazi eneo lake dogo tu ..na kulisimamia...

Serikali itapata mapato sana
Na wananchi watapunguza kuteseka..

Viongozi wetu waanze hili kulifanyia mchakato hata kwa Miji mikubwa Tu kama
Dar . Mwanza .waone impact yake. ..


Serikali isogee karibu kwa wananchi
Uko sahihi mtendaji kata anatembea kwa miguu wakati mkurugenzi wa halmashauri ananunua gari la mil300.

Badalaya kuanzisha mikoa mipya ni bora wang'atue shughuli za halmashauri level ya kata.
Elimu, mipango miji afya nk.

Pia itaongeza mapato sambnba ajira kwa watu wengi na kupeleka huduma karibu na wanyonge
 
Uko sahihi mtendaji kata anatembea kwa miguu wakati mkurugenzi wa halmashauri ananunua gari la mil300.

Badalaya kuanzisha mikoa mipya ni bora wang'atue shughuli za halmashauri level ya kata.
Elimu, mipango miji afya nk.

Pia itaongeza mapato sambnba ajira kwa watu wengi na kupeleka huduma karibu na wanyonge
Katiba mpya
 
Binafsi naamini kama Serikali inataka kuwa makini kabisa na masuala ya Kodi..
Ingeachana kabisa na mfumo wa sasa wa kuweka serikali wilayani..

Huu mfumo wa serikali kuwa wilayani au Halmashauri ni mfumo wa kurithi kutoka kwa wakoloni ...

Wakati wakoloni wanaanzisha hii mfumo ya Bomani au wilayani au Halmashauri..
Idadi ya Watanzania ilikuwa chini ya milioni 7..

Leo Tanzania ina watu million 60 na zaidi

Bado serikali inaanzia Wilayani....

Watu wengi hawaguswi kabisa na huduma za kiserikali ..ukiweka kodi..

Serikali inapaswa sasa kupeleka huduma za Halmashauri kwenye kila KATA..

Kata itimie kwa huduma zote za Halmashauri na kodi..

Kila mwananchi amalize kila kitu kwenye kata yake..
TRA kata
Ardhi Kata.
Mahakama Kata..
Polisi Kata..

Haya yakiwepo watu watashindwa kukwepa kodi..
Kazi zote kwenye kata zinaonekana..
Migogoro ya ardhi itapungua..
Foleni za kesi zitaisha..
Usalama utaongezeka..polisi watakuwa na eneo dogo la kusimamia..
Chukulia gari ya doria itakua inazunguka kwenye kata yake tu..
Afisa Kodi ataishi na kufanya kazi eneo lake dogo tu ..na kulisimamia...

Serikali itapata mapato sana
Na wananchi watapunguza kuteseka..

Viongozi wetu waanze hili kulifanyia mchakato hata kwa Miji mikubwa Tu kama
Dar . Mwanza .waone impact yake. ..


Serikali isogee karibu kwa wananchi
Bonge la wazo ni wenye akili tu ndio watakuelewa,kwa stahili hii maendeleo ni kugusa tu.
 
Ni sahihi kabisa,
Walipa kodi watapatikana wengi sana na impact ya kodi itapatikana.
Ni muundo tu wa mfumo
Pia itaondoa tabia ya kuitika kwa mwanasiasa
 
Ugatuzi wa madaraka,ni wazo zuri lakini hujasema viongozi katika level ya kata wanawajibika wapi? Mkoani ?

Wilaya inaweza kuratibu Tu.
Lakini bajeti asimilia 80 inapelekwa kata..
 
Back
Top Bottom