Kocha mpya wa Simba SC Patrick Aussems atambulishwa rasmi leo

Yah..lengo nikufanya vizuri kutetea ubingwa wa VPL na kufuzu makundi michuano ya kimataifa. Kwa hivyo Djuma siyo mbaya lakini kwa klabu ya Simba anatakiwa kocha zaidi ya Djuma, ndio maana kwenye mkutano wa leo wanasema Kocha huyu Aussems mpaka kupewa kazi imetokana kukidhi vigezo kuelekea kwenye lengo la Klabu na falsafa ya klabu ambayo safari hii benchi la ufundi lilishirikisha wataalamu wa tano wa mpira ambao walimpa interview na kuridhika na kocha huyu.
kama Coach kweli ndio wampe mwaka mmoja
 
Back
Top Bottom