Koboko (black mamba) ana kiburi, jeuri na dharau sana ila nitamfundisha adabu


Heshima kwako mkuu. Sema lile jukwaa limepoa sana. Mijadala imepoa sana.

Vipi mbona kama huyu mleta mada hujamuelewa au mm ndo sijamuelewa?
 
Mkuu usipate shida chuma tairi chini ya huo mti yeye akiwa Juu, au pilipili mwendo kasi
 
Kuna kamnyama flani kako kama paka huwa kanamwazibu sana koboko na koboko akisha mwona tu hako kamnyama ujanja huwa unamwisha hivi huwa kanatumia njia gani kumwenyesha koboko?
 
Kana speed na akili ya ziada, pia yupo mnyama mwingine hapati madhara ya sumu anang'atwa ila hafi.
Kuna kamnyama flani kako kama paka huwa kanamwazibu sana koboko na koboko akisha mwona tu hako kamnyama ujanja huwa unamwisha hivi huwa kanatumia njia gani kumwenyesha koboko?
 
We mpoteze mwenzako
 
Unavoongea its like mshkaji flani hivi aisee, huogopi??, sijawahi kumwona ila hilo jina imebidi nigoogle tena aisee joka hilooo. Mi ningehama kabisa mji uwiii, be careful mkuu, bado tunakuhitaji huku
 
Aisee, hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…