Umesha shiba zako ugali na mchuzi na ngogwe ..unakuja kutolea shibe humu
Wanapendaga pia kujificha uvunguni mwa kitanda angalia vzr hayo maeneo mkuuMkuu umenifanya nikawashe taa tena wakati nilishalala.
Bora nyoka tu ( KOBOKO)?Kuna watu washachoka na maisha hv nyoka wa kucheza nae kwel stress peleka kwa wife hyo nyoka atakumaliza nakwambia
Huyu hapa jamaa mwenyewe. Doh huyu hafai mkuu achana naeBora nyoka tu ( KOBOKO)?
Asiporudi online mods muwekeeni badge ya R.I.P
Huyu hapa jamaa mwenyewe. Doh huyu hafai mkuu achana nae
View attachment 1125037
Hahahah. Hyo jamaa ni noma. Ukumrushia kitu kama jiwe hivi ndio anakuwa hivyoMkuu tunatishana usiku huu
We subiri jamaa atupe mrejeshoHahahah. Hyo jamaa ni noma. Ukumrushia kitu kama jiwe hivi ndio anakuwa hivyo
We subiri jamaa atupe mrejesho
Maana raia zinatoa mikwara ya hela yote, by the way TABORA wanaogopa hata kutaja jina la huyo kiumbe ! Pia mkoa wa Rukwa wapo hao.Jamaa naona kagairi msimamo jinsi jamaa walivyomwambia humu
Hivi anayeogopa nyoka kwenye picha ana tofauti gani na anayekula ugali Kwa picha ya samaki?Mkuu tunatishana usiku huu
Hahah. Huyo mdude sio poa kabisa mkuuHivi anayeogopa nyoka kwenye picha ana tofauti gani na anayekula ugali Kwa picha ya samaki?
Hivi anayeogopa nyoka kwenye picha ana tofauti gani na anayekula ugali Kwa picha ya samaki?
Kwa maelezo yako huyo sio Koboko ungekuta tushakusahau, labda ni aina nyingine ya nyoka, Black mamba au Mhando wasikie tu kwa mbali hawaachi kituNdo ujiulize kwanini baadhi ya social media platforms huwa zinakuwa na ile Option ya ku-view 'covered content' ambayo huenda kuna blood contents au scariest things unayoifungua at your own risk.
Binadamu hawako sawa mkuu.!
Kwa maelezo yako huyo sio Koboko ungekuta tushakusahau, labda ni aina nyingine ya nyoka, Black mamba au Mhando wasikie tu kwa mbali hawaachi kitu
Nimeogopa tu hii gif, hakika huyo jamaa atakuwa na ujasiri wa ajabu kupambana na huyu kiumbeHuyu hapa jamaa mwenyewe. Doh huyu hafai mkuu achana nae
View attachment 1125037
Mkuu umenifanya nikawashe taa tena wakati nilishalala.