Nakusoma, ila ukimtaja Yesu then unahusisha na dina, ila salaam aleykum haina mwelekeo wa dini yoyote! kiswahili kimeazima maneno kutoka lugha mbalimbali ikiwemo kiarabu na kuifanya lugha yetu ipate utajiri wa maneno kuweza kurahisisha mawasiliano. kuwepo kwa maneno ya kiarabu sioni kama kunatubadili asili yetu kama waafrika/watz. ni maoni yangu tu.