try first track Muhimbili, Dr Kamugisha ni mzuri sana ingawa ana queue ndefu sana, ila anapatikana mda wote, he is so kind and knowledgable. Kuna wengine pia ambao ni wazuri. Last year ilikuwa sh 6,000 kila unapoenda na kujiandikisha elf 13. hizi ni rate za mwaka jana. sina uhakika kama wameongeza au la