Mabingwa wapya wa Tanzania, Dar Young Africans maaarufu kama Yanga usiku huu imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole
Kambole ambaye ni raia wa Zambia amejiunga na Yanga kama mchezaji huru baada ya kuachwa na miamba ya Afrika Kusini Kaizer Chiefs
Ujio wa Kambole ni faida kwa safu ya ushambuliaji ya Yanga inayoongozwa na mshambuliaji hatari anayeongoza kwa kufunga katika ligi kuu ya Tanzania Bara, Fiston Kalala Mayele.
Kambole ambaye ni raia wa Zambia amejiunga na Yanga kama mchezaji huru baada ya kuachwa na miamba ya Afrika Kusini Kaizer Chiefs
Ujio wa Kambole ni faida kwa safu ya ushambuliaji ya Yanga inayoongozwa na mshambuliaji hatari anayeongoza kwa kufunga katika ligi kuu ya Tanzania Bara, Fiston Kalala Mayele.