Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
UEFA champions league leo Chelsea watakuwa katika uwanja wao wa nyumbani kuwakaribisha Atletico Madrid katika mchezo wa marudiano.
Mchezo wa awali Chelsea iliibuka na usindi wa goli moja la ugenini, tangu kocha Thomas Tuchel aingoze Chelsea haijawai kupoteza mchezo wowote katika mashindano yote.
Je, leo ataendeleza ubabe kwa waongoza ligi pale Spain?
Mchezo wa awali Chelsea iliibuka na usindi wa goli moja la ugenini, tangu kocha Thomas Tuchel aingoze Chelsea haijawai kupoteza mchezo wowote katika mashindano yote.
Je, leo ataendeleza ubabe kwa waongoza ligi pale Spain?